Ni kweli kabisaTatizo ni kufwata maagizo.. Miili yetu imeumbwa kutokana na mazingira tuyayoishi ni ngumu sana kukifwata kitu ambacho kinachohusu roho.. Anyway Mungu awatangulie katika ndoa yao
Nawewe badilisha umfuate ili watoto wasihangaike,Habari wakuu,
Naombeni mnishauri.
Mimi nilioa miaka 18 iliyopita mpaka niko na mke wangu tuna watoto kadhaa na mali kadhaa. Sasa huyu mke wangu alikuwa mkiristo mimi muislam kwenye kufunga ndoa ni yeye alibadil dini na tukafunga ndoa ya kiislam.
Tumeishi vizuri miaka yote hiyo kwa amani na upendo.
Sasa hivi karibuni nimegundua mke wangu amerudi kwenye dini yake na nimemuuliza amekubali na amesema uislam umemshinda kama nampenda niishi nae hivi hivi tu na ukiristo wake.
Sasa jamani niko njia panda sjui nifanyeje maana naona kama watoto wangu watahangaika mara leo mskitini kesho kanisani.
Hebu nisaidieni.
Huwezi kueka madhara ya mtu uliyekwisha zaa naye,labda watoto nao uwafukuze,bado sheria itakubana,Mwanaume anae ongopa kuacha mke kisa watoto naona kama hana vipaumbele na ni muoga wamaisha, hapo hsmna ndoa mteme maramoja kukuepa madhara hatari ya badaye.
Nimekuelewa kaka. Niliuliza kwa sababu kuna uzi nimeona jamaa anawaambia watu Waisrael wale waliovuka bahari nyekundu walikuwa Waislamu.Itakuchukua muda mrefu saana kumaster mambo yote, dini imegusa maisha ya kila siku ya mwanadamu, ndoa, mali, mzazi, mlezi, yatima na kila kitu.
Chukua kitabu cha fizikia, kemia.. Uanze kujifunza wewe mwenyewe, uone itakuchukua muda gani kumaster kila kitu, yaan heat, light, modern physics, electronics huko, sijui mechanics, sijui wave huko etc.
Itakuchukua muda sana, ila leo ukikwama, ukajiuliza kwanini mtu akishuka kwenye gari inayotembea akashuka kama mnazi anaanguka, ikiwa hujui kitu utapata tabu, kwanza huwezi jua hiyo ni physics gani, unaweza kwenda kusoma wave huko, kumbe jibu lipo huku kwenye mechanics.
Ungemuuliza kwanini, mie naweza sema si waisalam kwa sababu zangu, nae anaweza akasema ni waislam na sababu zake zikawa na mashiko kwa wengine, kila jibu ni sahihi ama si sahihi, kutegemea na sababu.Nimekuelewa kaka. Niliuliza kwa sababu kuna uzi nimeona jamaa anawaambia watu Waisrael wale waliovuka bahari nyekundu walikuwa Waislamu.
Nikawa najiuliza mtu kama huyo hayo mafundisho ameyapata wapi, kwa kiongozi wake wa dini au kwenye kitabu?
Wewe mbona umeolewa na Mume mkristo na mnapeta tu.Si ulimbadilisha dini alafu hukutaka kumfundisha dini kwanzia hapo alipo ritad ndoa tayari imeshavunjika hakuna ndoa kati ya muislam na asiekua muislam mruhusu arudi kwao.
Kuwa makini kutukana watu mtandaoni utakuja kumtukana kibenten wa mamaakoWewe mbona umeolewa na Mume mkristo na mnapeta tu.
Nilidhani umeniquote mimi , since you didn't then samahani kwa kukuambia dini yangu Mkuu.Where did i say anything about u being christian? But lets assume i meant that, does it concern me ? the answer is No!
Hapo hakuna ndoa zaidi ya makwazano. Amevunjq makubaliano. Ulimuoa baada ya yeye kukubali kufuata imani yako. Kaa mzungumze mtafute suruhu.Habari wakuu,
Naombeni mnishauri.
Mimi nilioa miaka 18 iliyopita mpaka niko na mke wangu tuna watoto kadhaa na mali kadhaa. Sasa huyu mke wangu alikuwa mkiristo mimi muislam kwenye kufunga ndoa ni yeye alibadil dini na tukafunga ndoa ya kiislam.
Tumeishi vizuri miaka yote hiyo kwa amani na upendo.
Sasa hivi karibuni nimegundua mke wangu amerudi kwenye dini yake na nimemuuliza amekubali na amesema uislam umemshinda kama nampenda niishi nae hivi hivi tu na ukiristo wake.
Sasa jamani niko njia panda sjui nifanyeje maana naona kama watoto wangu watahangaika mara leo mskitini kesho kanisani.
Hebu nisaidieni.
Heshimu maamuzi yake na ulipaswa kujua ulimshinda kwa sababu ipi?Habari wakuu,
Naombeni mnishauri.
Mimi nilioa miaka 18 iliyopita mpaka niko na mke wangu tuna watoto kadhaa na mali kadhaa. Sasa huyu mke wangu alikuwa mkiristo mimi muislam kwenye kufunga ndoa ni yeye alibadil dini na tukafunga ndoa ya kiislam.
Tumeishi vizuri miaka yote hiyo kwa amani na upendo.
Sasa hivi karibuni nimegundua mke wangu amerudi kwenye dini yake na nimemuuliza amekubali na amesema uislam umemshinda kama nampenda niishi nae hivi hivi tu na ukiristo wake.
Sasa jamani niko njia panda sjui nifanyeje maana naona kama watoto wangu watahangaika mara leo mskitini kesho kanisani.
Hebu nisaidieni.
Elewaneni watoto wawe dini yako wewe baba usiwe king'ang'anizi utawachanganya au subiri wakue wachague waoHabari wakuu,
Naombeni mnishauri.
Mimi nilioa miaka 18 iliyopita mpaka niko na mke wangu tuna watoto kadhaa na mali kadhaa. Sasa huyu mke wangu alikuwa mkiristo mimi muislam kwenye kufunga ndoa ni yeye alibadil dini na tukafunga ndoa ya kiislam.
Tumeishi vizuri miaka yote hiyo kwa amani na upendo.
Sasa hivi karibuni nimegundua mke wangu amerudi kwenye dini yake na nimemuuliza amekubali na amesema uislam umemshinda kama nampenda niishi nae hivi hivi tu na ukiristo wake.
Sasa jamani niko njia panda sjui nifanyeje maana naona kama watoto wangu watahangaika mara leo mskitini kesho kanisani.
Hebu nisaidieni.
muwe mnaoa waislam wenzenu kuepuka haya !!Habari wakuu,
Naombeni mnishauri.
Mimi nilioa miaka 18 iliyopita mpaka niko na mke wangu tuna watoto kadhaa na mali kadhaa. Sasa huyu mke wangu alikuwa mkiristo mimi muislam kwenye kufunga ndoa ni yeye alibadil dini na tukafunga ndoa ya kiislam.
Tumeishi vizuri miaka yote hiyo kwa amani na upendo.
Sasa hivi karibuni nimegundua mke wangu amerudi kwenye dini yake na nimemuuliza amekubali na amesema uislam umemshinda kama nampenda niishi nae hivi hivi tu na ukiristo wake.
Sasa jamani niko njia panda sjui nifanyeje maana naona kama watoto wangu watahangaika mara leo mskitini kesho kanisani.
Hebu nisaidieni.