Mke wangu kasema nafeli; je, nafeli wapi?

Mke wangu kasema nafeli; je, nafeli wapi?

kimsingi umeona msanii.

ukiishaona mwanamke anashindwa kutambua ipi ni mali yako,ipi ya kwake na ipi ni ya familia,ujue huyo ni ng`ombe.

angeweza asikuonyeshe zilipo ila asikuombe hela ya chakula,au ada na mavazi ya watoto.tungempa cheo cha mke bora kabisa.

muhimu,acha kuiendeleza hiyo frem,mwambie huoni tija yake,kama ana akili atakataa na kukusitiza kwamaba yeye anaweza kuisimamia.
Hapo pia atatafuta mwingine wa kuiendeleza. Arudishe frem kwa kanisa tu
 
mkuu usijibu hivyo,bado hujaoa,ndoa ina mambo mengi,sio kila kosa ni la kupiga au kuacha mke,mna watoto wa nne,kosa hilo tu umfukuze arudi kwao,sio rahisi kiivyo kiongozi.
Weeee weeeee weee nmeona, Mimi Toka harakati zangu za mapenzi, Huwa nahakikisha mwanamke ni kiumbe kinyonge kwangu.

Pitia pitia nyuzi zangu, ndo utajua Mimi ni mwanaume wa aina gan.

Mwanamke ni Chombo Cha STAREHE ..unaelewa maana ya kua Chombo Cha STAREHE?
 
Weeee weeeee weee nmeona, Mimi Toka harakati zangu za mapenzi, Huwa nahakikisha mwanamke ni kiumbe kinyonge kwangu.

Pitia pitia nyuzi zangu, ndo utajua Mimi ni mwanaume wa aina gan.

Mwanamke ni Chombo Cha STAREHE ..unaelewa maana ya kua Chombo Cha STAREHE?
Sasa kiongozi,ukimchukulia mwanamke ni chombo cha starehe utafeli vibaya mkuu,hata familia huwezi jenga imara,utakuwa unaacha na kuoa kila leo,punguza hasira mkuu..
 
Umefeli pakubwa we nyau wewe. Mwanamke anakuwaje na mandate kubwa kiasi hicho kwenye biashara? Yeye alitakiwa awe chini Yako yaani afanye kazi Kwa kujua kuwa unamfatilia. Yeye auze na jioni mfunge mahesabu pamoja Tena ukibaini upotevu kuwa mkali. Sasa miaka miwili yeye anaendesha biashara Kwa kufunga na kifungua mahesabu peke yake! Trust me atakua anawekeza mahali Fulani naukizingua mtaachana na yeye atakua mbali Sana.

Wewe hutambui nafasi Yako Kama mwanaume na yeye amejua Hilo ndiomaana anaendelea kukusumbua. Mtoe dukani arudi kulala kwenye korido za nyumba na dukani weka mtu. Yaani we jamaa ningekua jirani nawe ningekutwanga makofi fuvu likae sawa. Miaka miwili hujui mtaji upo au umekua kiasi gani, je kama Kuna jamaa anaendesha biashara hiyo Kwa kumnyandua mkeo utajuaje?

Kuna mpuuzi Kama wewe huku mtaani ndoa yake imeingia mdudu. Mke alipewa mtaji wa nguo akawa anafuata mzigo Dar na kuja kuuza. Mwaka mmoja tu ulitosha kupata njemba wa kumuongezea mtaji na jamaa kuja kustuka it's too late.
 
Umefeli pakubwa we nyau wewe. Mwanamke anakuwaje na mandate kubwa kiasi hicho kwenye biashara? Yeye alitakiwa awe chini Yako yaani afanye kazi Kwa kujua kuwa unamfatilia. Yeye auze na jioni mfunge mahesabu pamoja Tena ukibaini upotevu kuwa mkali. Sasa miaka miwili yeye anaendesha biashara Kwa kufunga na kifungua mahesabu peke yake! Trust me atakua anawekeza mahali Fulani naukizingua mtaachana na yeye atakua mbali Sana.

Wewe hutambui nafasi Yako Kama mwanaume na yeye amejua Hilo ndiomaana anaendelea kukusumbua. Mtoe dukani arudi kulala kwenye korido za nyumba na dukani weka mtu. Yaani we jamaa ningekua jirani nawe ningekutwanga makofi fuvu likae sawa. Miaka miwili hujui mtaji upo au umekua kiasi gani, je kama Kuna jamaa anaendesha biashara hiyo Kwa kumnyandua mkeo utajuaje?

Kuna mpuuzi Kama wewe huku mtaani ndoa yake imeingia mdudu. Mke alipewa mtaji wa nguo akawa anafuata mzigo Dar na kuja kuuza. Mwaka mmoja tu ulitosha kupata njemba wa kumuongezea mtaji na jamaa kuja kustuka it's too late.
mkuu natoka home saa 10 usiku,narudi saa 1 jioni,sasa hip muda wa kuwa karibu ni ngumu mkuu.
 
Wakuu,

Nilikatiwa kipande cha ardhi na kanisa, kwa makubaliano kwamba nijenge fremu halafu tutakatana kwenye kodi na makato yakiisha fremu itakuwa mali ya kanisa.

Unapewa miezi 3 ya kujenga, hata kama hujamaliza fremu inaanza kusoma. Nilimaliza ujenzi ndani ya miezi tisa, nikaweka vifaa vya umeme wa majumbani.

Kwa kuwa mimi ni muajiriwa wa serikali, nikaona bora mke wangu akae maana alikuwa hana shughuli analala tu nyumbani.

Ni miaka miwili imepita bado mwaka mkataba uishe, hela anazouza mimi sizioni wala sijui ziko wapi, vifaa anaenda kujumua yeye, mambo yote ni yeye.

Sasa kuna wakati nakuwa sina hata hela ya kula, ilibidi leo nimuulize, inakuwaje fremu ni ya kwangu nimejenga mimi na mtaji ni wangu kwa nini hela anazificha na mimi sina hela.

Amenijibu kuwa nikiona hivyo, KUNA MAHALI NAFELI akanyamaza.

Sasa wakuu hivi nafeli wapi?
Kama umeambiwa umefeli, kuna mwenzako huko kaambiwa kafaulu! Kwa hiyo na wwe usikubali, rudia mtihani wake hadi upass!!
 
Back
Top Bottom