Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Tuombeane uzima mkuu[emoji120]I know the feeling, hongera sana.
Tafuteni kamusiVipi sisi ambao hatujaelewa.?
Hi ni kutokana na cad ya clinic majibu kuwa negative kwenye upande wa vipimo nadhani tunaelewana. wazee huwa tunapakimbilia sana hapo tuuh
Usiku mwema wakuu
Ni swala la umri tuh kijanaVipi sisi ambao hatujaelewa.?
Baada ya kupata majibu mzee baba alianza na Serengeti light kwanza. Zilipoanza kuapanda ndiyo ametukumbuka ndugu zake wa JF.Duh! Yaani toka asubuhi mpaka saa hi alikuwa clinic?
Ndiyo maana amefurahi!
Mkuu niliwahi ile page kama mwehu ila majibu yamenipoza kwa kweli
Baada ya kupata majibu mzee baba alianza na Serengeti light kwanza. Zilipoanza kuapanda ndiyo ametukumbuka ndugu zake wa JF.
Kabla sija lala nimeikumbuka furaha yangu ya Leo kunaubaya kwani?Duh! Yaani toka asubuhi mpaka saa hi alikuwa clinic?
Ndiyo maana amefurahi!
Kuunganishwa na grid ya Taifa si utani.Ooh, hapo sawa.
Habari kama hii alitakiwa atujulishe mapema ili tujumuike naye kushangilia.
Mkuu upo maeneo ya hapa karibu nini[emoji482][emoji482] chukua mbili apoBaada ya kupata majibu mzee baba alianza na Serengeti light kwanza. Zilipoanza kuapanda ndiyo ametukumbuka ndugu zake wa JF.
Ukinyimwa vituz tukumbuke pia kwa kuanzisha sred jf hapa.Hi ni kutokana na cad ya clinic majibu kuwa negative kwenye upande wa vipimo nadhani tunaelewana. wazee huwa tunapakimbilia sana hapo tuuh
Usiku mwema wakuu
Umepaniki hata huwezi kuandika [emoji23][emoji23][emoji23]Hi ni kutokana na cad ya clinic majibu kuwa negative kwenye upande wa vipimo nadhani tunaelewana. wazee huwa tunapakimbilia sana hapo tuuh
Usiku mwema wakuu
Iyo clinic ya usiku wa manane mmmhHi ni kutokana na cad ya clinic majibu kuwa negative kwenye upande wa vipimo nadhani tunaelewana. wazee huwa tunapakimbilia sana hapo tuuh
Usiku mwema wakuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama yule mwenzakeUkinyimwa vituz tukumbuke pia kwa kuanzisha sred jf hapa.
Kabla sija lala nimeikumbuka furaha yangu ya Leo kunaubaya kwani?