kifukumkunyi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 234
- 188
Wewe mwenyewe je umecheki??Hi ni kutokana na cad ya clinic majibu kuwa negative kwenye upande wa vipimo nadhani tunaelewana. wazee huwa tunapakimbilia sana hapo tuuh
Usiku mwema wakuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mwenyewe je umecheki??Hi ni kutokana na cad ya clinic majibu kuwa negative kwenye upande wa vipimo nadhani tunaelewana. wazee huwa tunapakimbilia sana hapo tuuh
Usiku mwema wakuu
Anaweza kuwa carrier[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Abadilike sasa,shida uwa inatugharimu hapa baada ya matokeo km haya tunairudia michepuko yetu kwa kudhani nayo ipo salama halafu tunakosea tunatoa ronja(siri)ya bibi mkubwa kupima na kukutwa neg.michepuko nayo inaiambia michepuko yake,hapo ndo balaa make mlolongo wa michepuko ni noma means limoja likiharibu muathirika wa mwisho ni mpendwa mke,tuwe makini ukimwi unatishaaSababu ya hizo furaha ni kwamba ameshacheza rafu sana na haamini macho yake kwa majibu hayo au akuamini kabisa kutokana na mienendo yako
Acha izo mkuuAnaweza kuwa carrier[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Ni jinsi ulivyotune akili yako kiongoziUmeiripoti kama vile ni tukio la muda mfupi uliopita.
Apo Sina haja mkuuWewe mwenyewe je umecheki??
Nimekusikia mkuuAbadilike sasa,shida uwa inatugharimu hapa baada ya matokeo km haya tunairudia michepuko yetu kwa kudhani nayo ipo salama halafu tunakosea tunatoa ronja(siri)ya bibi mkubwa kupima na kukutwa neg.michepuko nayo inaiambia michepuko yake,hapo ndo balaa make mlolongo wa michepuko ni noma means limoja likiharibu muathirika wa mwisho ni mpendwa mke,tuwe makini ukimwi unatishaa
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Wako wengi mno hawa
Nakata!!Unaweza kukuta we unao yeye hana ndio maana inasisitizwa muende wote kupima. Mwambie aweke akiba ya furaha
Kwamba hakutaka kuzaa na wewe siyo? Huyo atakuwa na wake wa moyoni zaidi yako, ukiendelea kuishi naye atakuja kukuumiza live liveHi ni kutokana na kadi ya clinic majibu kuwa negative kwenye upande wa vipimo (nadhani tunaelewana). Wazee huwa tunapakimbilia sana hapo.
Usiku mwema wakuu
Kivipi kiongozi?Kwamba hakutaka kuzaa na wewe siyo? Huyo atakuwa na wake wa moyoni zaidi yako, ukiendelea kuishi naye atakuja kukuumiza live live
Yani wabongo bwana!!!! sasa mtu kama wewe sijui ni wa aina gani na una umri ganiHi ni kutokana na kadi ya clinic majibu kuwa negative kwenye upande wa vipimo (nadhani tunaelewana). Wazee huwa tunapakimbilia sana hapo.
Usiku mwema wakuu
Mwaka na nusuYani wabongo bwana!!!! sasa mtu kama wewe sijui ni wa aina gani na una umri gani