Mke wangu kaweka viatu vyake katika gari langu kiti cha mbele!

Mke wangu kaweka viatu vyake katika gari langu kiti cha mbele!

This is called "marking ones territory", it is a primitive and animalistic instinct aimed at establishing boundaries and hegemony over the various disputed "turfs".

Wild animals use is prevalently.Drug dealers, pimps and prostitutes are very fond of it.

Just goes to show how primitive marriage can get, not that far from wild animals, drug dealers, pimps and prostitutes.

I mean if you don't trust your husband/ wife why marry at all?

wakati mwingine mwenzi wako anaweza akakupa sababu ya kutomwamini.........
 
Mke wangu naona ana wivu! Hivi karibuni ameweka pair moja ya mchuchumio wake matata sana ndani ya gari langu kwenye kiti cha mbele sehemu ya kuwekea miguu. (Muhimu: yeye pia ana gari lake lakini hajaweka kwake!!!)

Nilipomuuliza mbona unaweka hapa imekuwaje? Akanijibu kwa upole sana...'mume wangu nakupenda sana, na kama unanipenda pia basi naomba hivi viatu vyangu usivitoe hapa'.....

Habari ndiyo hiyo wakuu, nifanyeje? Nivitoe kwa nguvu? Je, anadhani mimi waga nawapa lifti wadada? Je, ni wivu unamsumbua?

ukivitoa kwa nguvu una lako jambo wewe??viache mbona wapewa lifti wataenena tu na wala havitawabana,upo hapo?mwanamke chake babu ata kwa kujiridhisha tu
 
This is called "marking ones territory", it is a primitive and animalistic instinct aimed at establishing boundaries and hegemony over the various disputed "turfs".

Wild animals use is prevalently.Drug dealers, pimps and prostitutes are very fond of it.

Just goes to show how primitive marriage can get, not that far from wild animals, drug dealers, pimps and prostitutes.

I mean if you don't trust your husband/ wife why marry at all?

Mkuu, hapo ndo huwa sikuelewagi kabisa,
Why do you think "making once teritory for the purpose of establishing boundaries and preeminance" is primitive? yes it is animalistic, are we not animals?
Again, why do you say that, it is because of turfs? I mean, do you real give a little bit of thinking to what you believe?

It is not the matter of trust, it is the matter of establishing territory, whther you consider it primitive or morden/western, men will continue to do so in various ways.

You would hear one saying Nyumbani kwangu utaratibu ni huu na huu~. a woman will say, My hubby have nothing to do with the h/girl, I am her boss.........these are all ways of marking a territory.

cheers!
 
Mke wangu naona ana wivu! Hivi karibuni ameweka pair moja ya mchuchumio wake matata sana ndani ya gari langu kwenye kiti cha mbele sehemu ya kuwekea miguu. (Muhimu: yeye pia ana gari lake lakini hajaweka kwake!!!)

Nilipomuuliza mbona unaweka hapa imekuwaje? Akanijibu kwa upole sana...'mume wangu nakupenda sana, na kama unanipenda pia basi naomba hivi viatu vyangu usivitoe hapa'.....


Habari ndiyo hiyo wakuu, nifanyeje? Nivitoe kwa nguvu? Je, anadhani mimi waga nawapa lifti wadada? Je, ni wivu unamsumbua?
mi naona viache tu, tena ndio unakuwa na deal zaidi 'wakiviona'.
lakini kama unahisi vinakuwekea kauzibe uwe unaviweka kwenye buti ya gari ukikaribia kuonana na mkeo/home unavirudisha mahala pake - simpo!
 
Mke wangu naona ana wivu! Hivi karibuni ameweka pair moja ya mchuchumio wake matata sana ndani ya gari langu kwenye kiti cha mbele sehemu ya kuwekea miguu. (Muhimu: yeye pia ana gari lake lakini hajaweka kwake!!!)

Nilipomuuliza mbona unaweka hapa imekuwaje? Akanijibu kwa upole sana...'mume wangu nakupenda sana, na kama unanipenda pia basi naomba hivi viatu vyangu usivitoe hapa'.....


Habari ndiyo hiyo wakuu, nifanyeje? Nivitoe kwa nguvu? Je, anadhani mimi waga nawapa lifti wadada? Je, ni wivu unamsumbua?
.....tena unapaswa kukipiga kiwi kila siku kiwe kama kipya....
 
Mke wangu naona ana wivu! Hivi karibuni ameweka pair moja ya mchuchumio wake matata sana ndani ya gari langu kwenye kiti cha mbele sehemu ya kuwekea miguu. (Muhimu: yeye pia ana gari lake lakini hajaweka kwake!!!)

Nilipomuuliza mbona unaweka hapa imekuwaje? Akanijibu kwa upole sana...'mume wangu nakupenda sana, na kama unanipenda pia basi naomba hivi viatu vyangu usivitoe hapa'.....


Habari ndiyo hiyo wakuu, nifanyeje? Nivitoe kwa nguvu? Je, anadhani mimi waga nawapa lifti wadada? Je, ni wivu unamsumbua?
angenifanyia hivyo mimi enzi zangu angekuta siku nimeshahonga mwingine siku nyiiingi
 
Jamani mbna amekupa jibu zuri hivyo "anakupenda sana", basi nawe mridhishe viache viatu alipoweka tena unaweza kumnunulia vizuri zaidi aweke hapo
 
Kweli abiria chunga mzigo wako, unanikumbusha kisa kimoja. Jamaa alikuwa anashare na mkewe gari sasa siku moja mama akawa amenunua viatu na nguo kwa ajili ya kwenda kwenye sherehe akaviweka seat ya nyuma. Baadaye mume akawa anatumia lile gari akaenda mpitia mkewe akiwa kwenye gari anasumbiri mkewe katika kukagua gari seat ya nyuma akakuta ule mfuko wenye nguo na viatu jamaa bila kufikiria akautupa kwenye dust bin kuogopa soo (Nafikiri alikuwa na tabia ya kupakiza vimada) . Kufika nyumbani mama anaulizia mizigo jamaa alikataa katakata kuona ule mfuko. Sasa na wewe una wasi wasi gani yeye kuacha viatu kwenye gari
 
kweli abiria chunga mzigo wako, unanikumbusha kisa kimoja. Jamaa alikuwa anashare na mkewe gari sasa siku moja mama akawa amenunua viatu na nguo kwa ajili ya kwenda kwenye sherehe akaviweka seat ya nyuma. Baadaye mume akawa anatumia lile gari akaenda mpitia mkewe akiwa kwenye gari anasumbiri mkewe katika kukagua gari seat ya nyuma akakuta ule mfuko wenye nguo na viatu jamaa bila kufikiria akautupa kwenye dust bin kuogopa soo (nafikiri alikuwa na tabia ya kupakiza vimada) . Kufika nyumbani mama anaulizia mizigo jamaa alikataa katakata kuona ule mfuko. Sasa na wewe una wasi wasi gani yeye kuacha viatu kwenye gari


sijui jamaa aliijibu vipi hiyo kesi.
Asalamua aleku walahi
 
Mke wangu naona ana wivu! Hivi karibuni ameweka pair moja ya mchuchumio wake matata sana ndani ya gari langu kwenye kiti cha mbele sehemu ya kuwekea miguu. (Muhimu: yeye pia ana gari lake lakini hajaweka kwake!!!)

Nilipomuuliza mbona unaweka hapa imekuwaje? Akanijibu kwa upole sana...'mume wangu nakupenda sana, na kama unanipenda pia basi naomba hivi viatu vyangu usivitoe hapa'.....

Habari ndiyo hiyo wakuu, nifanyeje? Nivitoe kwa nguvu? Je, anadhani mimi waga nawapa lifti wadada? Je, ni wivu unamsumbua?

Kwa kuwa umesema na yeye ana gari lake, nawe chukua pea moja ya viatu vyako weka kwenye siti ya abiria ya mbele kwenye gari lake!
icon10.gif
 
Kwa kuwa umesema na yeye ana gari lake, nawe chukua pea moja ya viatu vyako weka kwenye siti ya abiria ya mbele kwenye gari lake!
icon10.gif

Au atundike koti la suit na tai ule upande wa abiri...
 
Kweli abiria chunga mzigo wako, unanikumbusha kisa kimoja. Jamaa alikuwa anashare na mkewe gari sasa siku moja mama akawa amenunua viatu na nguo kwa ajili ya kwenda kwenye sherehe akaviweka seat ya nyuma. Baadaye mume akawa anatumia lile gari akaenda mpitia mkewe akiwa kwenye gari anasumbiri mkewe katika kukagua gari seat ya nyuma akakuta ule mfuko wenye nguo na viatu jamaa bila kufikiria akautupa kwenye dust bin kuogopa soo (Nafikiri alikuwa na tabia ya kupakiza vimada) . Kufika nyumbani mama anaulizia mizigo jamaa alikataa katakata kuona ule mfuko. Sasa na wewe una wasi wasi gani yeye kuacha viatu kwenye gari

Ndio shida ya kuwa mwizi, yaani muda wote huna amani! Unahisi kila kitu ni ushahidi tu! Dah! Hiyo kali! Hayo mambo ya kushea gari kuna mwanamke aliamka asubuhi akakuta hereni moja tena zile kubwa za duara kwenye siti ya dereva,halafu siyo ya kwake! Na jana yake usiku mumwe ndiye aliyekuwa anatumia gari!
icon10.gif
 
Kweli abiria chunga mzigo wako, unanikumbusha kisa kimoja. Jamaa alikuwa anashare na mkewe gari sasa siku moja mama akawa amenunua viatu na nguo kwa ajili ya kwenda kwenye sherehe akaviweka seat ya nyuma. Baadaye mume akawa anatumia lile gari akaenda mpitia mkewe akiwa kwenye gari anasumbiri mkewe katika kukagua gari seat ya nyuma akakuta ule mfuko wenye nguo na viatu jamaa bila kufikiria akautupa kwenye dust bin kuogopa soo (Nafikiri alikuwa na tabia ya kupakiza vimada) . Kufika nyumbani mama anaulizia mizigo jamaa alikataa katakata kuona ule mfuko. Sasa na wewe una wasi wasi gani yeye kuacha viatu kwenye gari

Hii mbona ilikuwa sooo Jeni sipati picha huu ugomvi uliishia wapi
 
Usijali.,ukitoa lift wapakize seat ya nyuma ambako hakuna viatu
 
mi naona viache tu, tena ndio unakuwa na deal zaidi 'wakiviona'.
lakini kama unahisi vinakuwekea kauzibe uwe unaviweka kwenye buti ya gari ukikaribia kuonana na mkeo/home unavirudisha mahala pake - simpo!

je akikutana na mkewe njiani gafla na lazima amchukue atamweleza viatu viko wapi?
 
Back
Top Bottom