This is called "marking ones territory", it is a primitive and animalistic instinct aimed at establishing boundaries and hegemony over the various disputed "turfs".
Wild animals use is prevalently.Drug dealers, pimps and prostitutes are very fond of it.
Just goes to show how primitive marriage can get, not that far from wild animals, drug dealers, pimps and prostitutes.
I mean if you don't trust your husband/ wife why marry at all?
Mke wangu naona ana wivu! Hivi karibuni ameweka pair moja ya mchuchumio wake matata sana ndani ya gari langu kwenye kiti cha mbele sehemu ya kuwekea miguu. (Muhimu: yeye pia ana gari lake lakini hajaweka kwake!!!)
Nilipomuuliza mbona unaweka hapa imekuwaje? Akanijibu kwa upole sana...'mume wangu nakupenda sana, na kama unanipenda pia basi naomba hivi viatu vyangu usivitoe hapa'.....
Habari ndiyo hiyo wakuu, nifanyeje? Nivitoe kwa nguvu? Je, anadhani mimi waga nawapa lifti wadada? Je, ni wivu unamsumbua?
Hahaha.. nawe muwekee vyako kwenye kibebeo chake umwambie ze sem alivyokuambia wakati anaweka kwenye kibebeo chako ikibidi ongezea na tai kabisa....😀
This is called "marking ones territory", it is a primitive and animalistic instinct aimed at establishing boundaries and hegemony over the various disputed "turfs".
Wild animals use is prevalently.Drug dealers, pimps and prostitutes are very fond of it.
Just goes to show how primitive marriage can get, not that far from wild animals, drug dealers, pimps and prostitutes.
I mean if you don't trust your husband/ wife why marry at all?
Mhh!wakati mwingine mwenzi wako anaweza akakupa sababu ya kutomwamini.........
mi naona viache tu, tena ndio unakuwa na deal zaidi 'wakiviona'.Mke wangu naona ana wivu! Hivi karibuni ameweka pair moja ya mchuchumio wake matata sana ndani ya gari langu kwenye kiti cha mbele sehemu ya kuwekea miguu. (Muhimu: yeye pia ana gari lake lakini hajaweka kwake!!!)
Nilipomuuliza mbona unaweka hapa imekuwaje? Akanijibu kwa upole sana...'mume wangu nakupenda sana, na kama unanipenda pia basi naomba hivi viatu vyangu usivitoe hapa'.....
Habari ndiyo hiyo wakuu, nifanyeje? Nivitoe kwa nguvu? Je, anadhani mimi waga nawapa lifti wadada? Je, ni wivu unamsumbua?
.....tena unapaswa kukipiga kiwi kila siku kiwe kama kipya....Mke wangu naona ana wivu! Hivi karibuni ameweka pair moja ya mchuchumio wake matata sana ndani ya gari langu kwenye kiti cha mbele sehemu ya kuwekea miguu. (Muhimu: yeye pia ana gari lake lakini hajaweka kwake!!!)
Nilipomuuliza mbona unaweka hapa imekuwaje? Akanijibu kwa upole sana...'mume wangu nakupenda sana, na kama unanipenda pia basi naomba hivi viatu vyangu usivitoe hapa'.....
Habari ndiyo hiyo wakuu, nifanyeje? Nivitoe kwa nguvu? Je, anadhani mimi waga nawapa lifti wadada? Je, ni wivu unamsumbua?
angenifanyia hivyo mimi enzi zangu angekuta siku nimeshahonga mwingine siku nyiiingiMke wangu naona ana wivu! Hivi karibuni ameweka pair moja ya mchuchumio wake matata sana ndani ya gari langu kwenye kiti cha mbele sehemu ya kuwekea miguu. (Muhimu: yeye pia ana gari lake lakini hajaweka kwake!!!)
Nilipomuuliza mbona unaweka hapa imekuwaje? Akanijibu kwa upole sana...'mume wangu nakupenda sana, na kama unanipenda pia basi naomba hivi viatu vyangu usivitoe hapa'.....
Habari ndiyo hiyo wakuu, nifanyeje? Nivitoe kwa nguvu? Je, anadhani mimi waga nawapa lifti wadada? Je, ni wivu unamsumbua?
kweli abiria chunga mzigo wako, unanikumbusha kisa kimoja. Jamaa alikuwa anashare na mkewe gari sasa siku moja mama akawa amenunua viatu na nguo kwa ajili ya kwenda kwenye sherehe akaviweka seat ya nyuma. Baadaye mume akawa anatumia lile gari akaenda mpitia mkewe akiwa kwenye gari anasumbiri mkewe katika kukagua gari seat ya nyuma akakuta ule mfuko wenye nguo na viatu jamaa bila kufikiria akautupa kwenye dust bin kuogopa soo (nafikiri alikuwa na tabia ya kupakiza vimada) . Kufika nyumbani mama anaulizia mizigo jamaa alikataa katakata kuona ule mfuko. Sasa na wewe una wasi wasi gani yeye kuacha viatu kwenye gari
sijui jamaa aliijibu vipi hiyo kesi.
Asalamua aleku walahi
Mke wangu naona ana wivu! Hivi karibuni ameweka pair moja ya mchuchumio wake matata sana ndani ya gari langu kwenye kiti cha mbele sehemu ya kuwekea miguu. (Muhimu: yeye pia ana gari lake lakini hajaweka kwake!!!)
Nilipomuuliza mbona unaweka hapa imekuwaje? Akanijibu kwa upole sana...'mume wangu nakupenda sana, na kama unanipenda pia basi naomba hivi viatu vyangu usivitoe hapa'.....
Habari ndiyo hiyo wakuu, nifanyeje? Nivitoe kwa nguvu? Je, anadhani mimi waga nawapa lifti wadada? Je, ni wivu unamsumbua?
Kwa kuwa umesema na yeye ana gari lake, nawe chukua pea moja ya viatu vyako weka kwenye siti ya abiria ya mbele kwenye gari lake!
Kweli abiria chunga mzigo wako, unanikumbusha kisa kimoja. Jamaa alikuwa anashare na mkewe gari sasa siku moja mama akawa amenunua viatu na nguo kwa ajili ya kwenda kwenye sherehe akaviweka seat ya nyuma. Baadaye mume akawa anatumia lile gari akaenda mpitia mkewe akiwa kwenye gari anasumbiri mkewe katika kukagua gari seat ya nyuma akakuta ule mfuko wenye nguo na viatu jamaa bila kufikiria akautupa kwenye dust bin kuogopa soo (Nafikiri alikuwa na tabia ya kupakiza vimada) . Kufika nyumbani mama anaulizia mizigo jamaa alikataa katakata kuona ule mfuko. Sasa na wewe una wasi wasi gani yeye kuacha viatu kwenye gari
Kweli abiria chunga mzigo wako, unanikumbusha kisa kimoja. Jamaa alikuwa anashare na mkewe gari sasa siku moja mama akawa amenunua viatu na nguo kwa ajili ya kwenda kwenye sherehe akaviweka seat ya nyuma. Baadaye mume akawa anatumia lile gari akaenda mpitia mkewe akiwa kwenye gari anasumbiri mkewe katika kukagua gari seat ya nyuma akakuta ule mfuko wenye nguo na viatu jamaa bila kufikiria akautupa kwenye dust bin kuogopa soo (Nafikiri alikuwa na tabia ya kupakiza vimada) . Kufika nyumbani mama anaulizia mizigo jamaa alikataa katakata kuona ule mfuko. Sasa na wewe una wasi wasi gani yeye kuacha viatu kwenye gari
mi naona viache tu, tena ndio unakuwa na deal zaidi 'wakiviona'.
lakini kama unahisi vinakuwekea kauzibe uwe unaviweka kwenye buti ya gari ukikaribia kuonana na mkeo/home unavirudisha mahala pake - simpo!