Inawezekana mwanamke wako ana tatizo linaitwa vaginismus. Hili sometimes lipo kisaikolojia zaidi, unaweza kuta sexual experience yake ya kwanza alipata maumivu makali sana au alikua abused sexually wakati mdogo,hofu ya ukimwi hata kama mmepima labda alipoteza ndugu wa karibu kwa gonjwa hilo. Mind yake inakua inahusisha ngono na maumivu japo unawe muandaa vizuri lakini ukitaka kuchomeka tu mashine mwili unafunga, k inakauka, ina sinyaa nk. Jaribisha wakati foreplay japo hata kidole kimoja, viwili kama vinapita (hakikisha umekata kucha lakini) uone reaction yake vajay inatosha.
Unaweza mshauri atumie tampoons badala ya pedi anapokua period, ipo kama dushe anakua anaichomeka na inafanya kazi kama pedi tu, hii itasaidia kustresch vajay yake kidogo kidogo. Pia anaweza nunua dildo sazi ya dushe awe anajaribu kulitumia kama sehemu ya zoezi tu la kustresch vajay. Hii itampa uhuru kidogo coz anakua ana control ya pace,force na rhythm ya hicho kitu so anakua hana Ile hofu ya kupata maumivu, dildo ikipita hata mashine yako itapita tu.
Ikishindikana kabisa mpeleke hospitali akaonane na wataalam wa magonjwa ya uzazi, na wewe uchekiwe pia kama uko sawa au ni abnormal.
Mwanamke akikwambia anaumia usilazimishe mpaka ukojoe au mpaka dushe lizame ndani.