Leo ngoja nikusifie mtoto wa kipare, tulianza mahusiano nikiwa chuo mwaka wa mwisho nikiwa chembamba cheusi sivutii nani angenitamani kipindi kile mtoto wa watu kigori cheupe kifupi kinene nilipokutongoza ukanikubalia thax mama be blessed my dear.
Nikapata kazi baada ya chuo tukawa pamoja ingawa mwaka mmoja baada ya kazi nilianza kunawiri mabinti wa pale kazini wakaanza kunitolea macho lkn niliahidi nitakuoa na sikutak kuvunja ahadi yangu kwako japo.
Nikatimuliwa kazi binti wa watu hukuniacha ukanifariji kwa maneno mazito na matamu ukanipa moyo wa kupambana ukasema unaona kitu ndani yangu nakumbuk ulivokua unaniombea wakati kibarua kimeota nyasi barikiwa saana wew binti hakika apatae mke Bora apata kitu chema.
Maisha yakasonga nikawa nasimamia mradi wa mjomba angu mradi ukachanua mjomba akaingiwa na wivu akaanza visa nikataka kumwibia nikaanzishe changu binti wa watu ukanituliza nakumbuka ulinambia acha baraka za kipepo zipite tafuta chako. Nikatoka kwa mjomba mambo yakawa magumu zaidi binti ukanambia giza likizidi alfajiri inakaribia love you so much.
Mambo yakawa magumu zaidi Lakini hukuchoka ulinipa moyo nakumbuk kila biashara tulikua tunafanya ikawa inakufa kila biashara niliotia mkono wangu ilikufa milango yoote ya riziki ilifunga na urembo wako hukudiriki kunisaliti wakati wote ulinambia you will rise again. What a women.
Nakumbuk ilinipiga homa ya miezi 3 mfululizo kila nikipima hamna chochote mke wangu hukunikimbia pamoja na hayo yoote baada ya kupita homa ndio milango ya riziki ikaanza kufunguka mmoja baada ya mwingine thax kwa uvumilivu wako.
Pamoja na kua Mimi ni mwanaume Nina tamaa za kimwili lakini nimechagua tamaa zangu ziwe na limit, nitakueshimu wakat wote, umalaya nikafanya mbali na uso wako na hakuna mwanamke Bora kwangu zaid yako.
Love you again
Nikapata kazi baada ya chuo tukawa pamoja ingawa mwaka mmoja baada ya kazi nilianza kunawiri mabinti wa pale kazini wakaanza kunitolea macho lkn niliahidi nitakuoa na sikutak kuvunja ahadi yangu kwako japo.
Nikatimuliwa kazi binti wa watu hukuniacha ukanifariji kwa maneno mazito na matamu ukanipa moyo wa kupambana ukasema unaona kitu ndani yangu nakumbuk ulivokua unaniombea wakati kibarua kimeota nyasi barikiwa saana wew binti hakika apatae mke Bora apata kitu chema.
Maisha yakasonga nikawa nasimamia mradi wa mjomba angu mradi ukachanua mjomba akaingiwa na wivu akaanza visa nikataka kumwibia nikaanzishe changu binti wa watu ukanituliza nakumbuka ulinambia acha baraka za kipepo zipite tafuta chako. Nikatoka kwa mjomba mambo yakawa magumu zaidi binti ukanambia giza likizidi alfajiri inakaribia love you so much.
Mambo yakawa magumu zaidi Lakini hukuchoka ulinipa moyo nakumbuk kila biashara tulikua tunafanya ikawa inakufa kila biashara niliotia mkono wangu ilikufa milango yoote ya riziki ilifunga na urembo wako hukudiriki kunisaliti wakati wote ulinambia you will rise again. What a women.
Nakumbuk ilinipiga homa ya miezi 3 mfululizo kila nikipima hamna chochote mke wangu hukunikimbia pamoja na hayo yoote baada ya kupita homa ndio milango ya riziki ikaanza kufunguka mmoja baada ya mwingine thax kwa uvumilivu wako.
Pamoja na kua Mimi ni mwanaume Nina tamaa za kimwili lakini nimechagua tamaa zangu ziwe na limit, nitakueshimu wakat wote, umalaya nikafanya mbali na uso wako na hakuna mwanamke Bora kwangu zaid yako.
Love you again