genau
Member
- Jan 11, 2018
- 36
- 54
Mke wangu kakuta sms za mgegedo na mchepuko kwenye simu yangu. Hapa naona vita ya tatu ya dunia inaanza.
Nipeni tips huwa mnafanyaje kusolve case kama hizi?
pia soma:
Nipeni tips huwa mnafanyaje kusolve case kama hizi?
- Kwanini mke wako akikuta meseji ya mchepuko ukiomba msamaha na kufanya nae mapenzi anakusamehe?
-
Umeshawahi kukosea meseji ya kwenda kwa mchepuko ikaenda kwa mpenzi wako/mke wako? Ulifanyaje?
Umeshawahi kujikuta unatamani kuvunja simu au kupotea duniani kwa dk kadhaa ukirudi duniani ukute ilikua n ndoto si kweli? basi mimi ilishawahi nitokea siku 1 nilichepuka nikadakwa na mpenzi wangu tukaongea yakaisha nikamuomba msamaha akaelewa. Baada ya siku 1 tu ugomvi hata haujasahaulika...
www.jamiiforums.com