fabinyo
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 3,042
- 2,221
Ndoa ina umri gani?watu washakutwa 'red handed' kitandani lakini wakakana,we msg tu unambwela?hapo ndio ndoa inakomaa,kaza tu.Mke wangu kakuta sms za mgegedo na mchepuko kwenye simu yangu. Hapa naona vita ya tatu ya dunia inaanza
Nipeni tips huwa mnafanyaje kusolve case kama hizi?