Ndoa ina umri gani?watu washakutwa 'red handed' kitandani lakini wakakana,we msg tu unambwela?hapo ndio ndoa inakomaa,kaza tu.Mke wangu kakuta sms za mgegedo na mchepuko kwenye simu yangu. Hapa naona vita ya tatu ya dunia inaanza
Nipeni tips huwa mnafanyaje kusolve case kama hizi?
vp kuhusu calls?Pole sana baharia,, najua yataisha tu haya,ila baada ya kuisha nenda play store download app ya secret file,kwenye simu yako itaonekana kama calculator ukitaka kupiga hesabu unapiga ,ila ukiingiza namba za siri inafunguka huko uta save namba zako na sms zote zitapitia huko kwa namba ulizozisave huko,,
Pili usikili kosa hata akitangaza kuvunja ndoa narudia usikili kosa
huyu ni mm kbs yaana hp nawaza nimuulize au nipuuzieMke wangu kakuta sms za mgegedo na mchepuko kwenye simu yangu. Hapa naona vita ya tatu ya dunia inaanza
Nipeni tips huwa mnafanyaje kusolve case kama hizi?
hapo sasavipi kama ungemkuta wewe kwenye simu yake ungetamani kufanyiwa vipi..!