MSingi wa talaka ni mmoja tu UZINZI otherwise hakuna namna..Mkuu hilo livumilie tu wengi tunao wana upungufu tofauti tofauti bora huo, wanawake wana udhaifu wa kila aina ila na kuahauri hilo kausha tu una jinsi, huwezi kutoa talaka kisa uchafu,.
kuna mfanyakazi mwenzangu jamani huyo kaka alikuwa msafi kuanzia unavomuona nje mpaka ndani kwake,siku moja nkamuuliza john itakuwaje siku ukioa mwanamke mchafu?alinambia ndoa itanishinda tu
sio hulka dada ni malezi ukimfundisha mtoto usafi usidhani ukubwani ataacha,ila kuna makabila ni wachafu kiasili kuna wazanzibari na kabila moja la huko ugandaUsafi ni hulka ,hata uchukie vipi na useme vipi hatabadilika. Endelea kuvumilia au piga chini
uvivu ndo unaleta yote haya,uvivu epuka nwanamke mvivu,yee kazi yake ni whatsap na kubonyeza simuHawa wanawake wanaovaa mawigi, kusuka nywele ndefu, kubandika kucha na makeup ni wachafu balaa ila ukikutana nao mjini walivyo jiremba kama midoli na kope zao ndefu unaweza kutamani upate mke kama yeye ila ishi nae siku mbili unaweza kumsusia nyumba kwa uchafu, huwa wanajali muonekano wa nje tu
unamvumilia tuJamaa alisema kweli maana kuishi na mwanamke mchafu Ni ishu Sana.
Kwa nini?Kwani we mchafu mkuu...
Wewe umewahi kuishi na mtu mchafu kweli ama unaongea tu? Kuna vitu sio vya kuvumiliwaunamvumilia tu
Bora umeleta ushahidi. Ni tatizo na watu wengi hawajui ni tatizo. Maana kukiwa na uchafu kidogo au mambo hayajapangiliwa ni kama akili inaacha kufanya kazi.Inawezekana pia, nami nina tatizo same same..Nimekua mkubwa ndio nikagundua ni tatizo.
Asipojicontrol atagombana sana na watu.. Mi siku hizi nimeweza kucontrol... hata watu wakifanya uchafu nawaacha muda ukifika najifanyia zangu. Zamani ilikuw ukichafua mimi nasafisha muda huo huo. Ni mateso kwa kweli!
Nani amekwambia ndoa ina umuhinu karne hii?Wanandoa kila siku ni malalamiko, mnatutisha ambao hatujaoa hatuoni umuhimu wa ndoa sasa
Kwaiyo suluhisho ni Nini mkuu mloziHiyo ni changamoto kubwa sana nakupa pole mno.. Ila kwa uzoefu wangu na kuchokonoa vitu niligundua hii tabia ni pepo! Pepo la uchafu.. Yani ni tabu tupu na mwenye nalo haoni shida yoyote
Nyumba ni kubwa kuisafishaKipindi nipo nae tunaishi nyumba ya kupanga tena chumba kimoja hakunionesha hali yoyote ya uchafu. Kivumbi kimeanza baada ya sisi kujenga
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Hapana ni ya kawaida na ni simple tu kuifanyia usafi ila kila akija hapa sijawahi kuona anashika fagio kufagia uwanja wala kudeki ndani mi ndo huwa napiga kelele kila siku basi mdogo wake na binti yangu kwa kijivuta ndo wanafanya usafi tena sio katika ile standard inayotakiwa, yani sometimes hadi naona hakuna maana ya yeye kuja hapa home naona ni kuja kunikera tuNyumba ni kubwa kuisafisha
Uzuri watu kama nyie mnaelewa hili jambo.Bora umeleta ushahidi. Ni tatizo na watu wengi hawajui ni tatizo. Maana kukiwa na uchafu kidogo au mambo hayajapangiliwa ni kama akili inaacha kufanya kazi.
Achana nae tu
Maisha yenyewe mafupi.
Tafuta msafi
Acha ujinga na unywanywa na utondoti. Hayo ni mambo ya ndani. Hata tukijua itawasaidia nini zaidi ya kuanika siri zako nje. Hayo kawaambie mama yako na mama mkwe. Hata baba yako wala baba mkwe hawapaswi kujua.Heri ya X-mass in advance
Ebhana kuishi na mke ambaye hajali mazingira ya usafi wa nyumba ni kero mno. Mwanzo nakutana nae hali hii haikujionesha ila sasa tulipofunga ndoa na kujenga basi hali imekuwa mbaya.
Muda mwingi siishi pamoja na huyu mke kutokana na masuala yake ya kikazi, ila sasa kila anapokuja hapa home asee mazingira yanabadilika nyumba inakua chafu kupindukia.
Akiamka asubuhi anachojua yeye ni kuoga kuvaa na kuendelea na mambo mengine na si kushughulikia usafi wa nyumba nje na ndani. Ana mdogo wake nae ni wale wale, binti mchafu hatari nimeongea sana asee hadi nimechoka.
Hii tabia naona keshamrithisha hadi mwanetu wa kike nae ni ovyo hajui kufagia uwanja, hajui kuosha vyombo nguo zake ni kuziweka popote pale.
Nimeongea sana nimepiga kelele sana ila sioni dalili ya mtu kubadilika. Nikibaki peke yangu hapa home mazingira yanakuwa safi ila akija yeye tu ni balaa kama dampo.
Kwenye maisha yangu nachukia sana uchafu na kukaa na mtu mchafu asiyejali mazingira anayoishi kwa kweli inanipa tabu hadi naona bora niendelee kuishi peke yangu tu.
Mwanamke anajua kuoga, kujiremba kuvaa nguo nzuri ila mazingira anayoishi ni kinyaa kabisa.
Wakuu mnadeal vipi na wake na wanafamilia wengine wachafu wachafu hasa uchafu wa mazingira ya nyumbani nje na ndani?
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app