Mke wangu mchafu, nimeongea nimechoka

Mke wangu mchafu, nimeongea nimechoka

kuna mfanyakazi mwenzangu jamani huyo kaka alikuwa msafi kuanzia unavomuona nje mpaka ndani kwake,siku moja nkamuuliza john itakuwaje siku ukioa mwanamke mchafu?alinambia ndoa itanishinda tu
Mama ntilie mmoja huwa nilikuwa nikila kwake siku moja wakati naondoka akaniuliza swali hilo hilo na nikatoa jibu hilo hilo kama la jamaaa.
 
Haya makucha yao ya kuzimu Saa ngapi afanye usafi Ili zikatike.
Ukiona mwanamke anajikwatua Sana jua umeoa box au kopo kichwani hakuna kitu.
Nadra Sana kukuta mwanamke anaejikwatua akawa msafi nyumbani kwake
 
Weka msaidizi wa kazi.
Upendo hustiri wingi wa dhambi yakiwemo madhaifu ya mwenza
 
Yaani kuna miji ukienda hadi unajiuliza huu mji una mwanamke kweli!!

Mkuu uchafu ni hulka, unaweza piga kelele weeh na wala kusiwe na mabadiliko.
Huo ni mzigo wako tayari, ukiona pachafu fanya tu usafi.

Ila kuishi na mtu mchafu yataka moyo walah!!!
 
Yaani kuna miji ukienda hadi unajiuliza huu mji una mwanamke kweli!!

Mkuu uchafu ni hulka, unaweza piga kelele weeh na wala kusiwe na mabadiliko.
Huo ni mzigo wako tayari, ukiona pachafu fanya tu usafi.

Ila kuishi na mtu mchafu yataka moyo walah!!!

Vipi kuhusu yeye mwenyewe ni msafi wa mwili na mavazi?. Anafua nguo zake na zako kwa wakati na kuzihifadhi vizuri?.
 
Mkiwa wasafi mtategeana kusafisha,bora mmoja awe msafi,jukumu la usafi litabaki kwake
Ila umejua kumsema mkeo😂😂
 
Ungemchunguza vizuri wakati wa uchumba. Sasa ni maisha ya ndoa, itabidi utekeleze tu maagano ya ndoa. Siku Moja atapata mgeni wa like ambae atampasha, ajue nyumba ni mwanamke.
 
Nami mke wangu n mchafu na mvivu sana
Akiamka hatandiki kitanda Wala kukunja neti, haoshi vyombo Wala kufagia. Yeye akishaamka n kuoga na kuperuzi mtandaoni basi.

Mdogo angu wa kike ndo anafanya usafi na kupika chai. Akanunue vitafunwa, yeye kakaa kwenye kochi tu.

Mwenzio kuepuka kupata msongo. nimeamua kujifulia nguo zangu, kufua mashuka na neti.
Kufagia uwanja jioni kwani asbh naenda Job.

Wala sina ugomvi nae kabisa sasa. Akija mama ake ama wageni wa kukaa siku mbili tatu ndo ataamka asbh kufanya kazi.
Siku aliyekuwepo mama angu na mama ake nikatoa mashuka na nguo zangu kwenda kufua, akaniomba niziache atafua yeye. Nikamwambia mbele ya wazazi ntafua mwenyewe Kama navyofanyaga, lini yeye akanifulia?
 
Nami mke wangu n mchafu na mvivu sana
Akiamka hatandiki kitanda Wala kukunja neti, haoshi vyombo Wala kufagia. Yeye akishaamka n kuoga na kuperuzi mtandaoni basi.

Mdogo angu wa kike ndo anafanya usafi na kupika chai. Akanunue vitafunwa, yeye kakaa kwenye kochi tu.

Mwenzio kuepuka kupata msongo. nimeamua kujifulia nguo zangu, kufua mashuka na neti.
Kufagia uwanja jioni kwani asbh naenda Job.

Wala sina ugomvi nae kabisa sasa. Akija mama ake ama wageni wa kukaa siku mbili tatu ndo ataamka asbh kufanya kazi.
Siku aliyekuwepo mama angu na mama ake nikatoa mashuka na nguo zangu kwenda kufua, akaniomba niziache atafua yeye. Nikamwambia mbele ya wazazi ntafua mwenyewe Kama navyofanyaga, lini yeye akanifulia?
Ikawajee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ilaa hizi ndoaa jama khaaa!!
 
Yani nyie ningekuwa mimi natafuta mwanamke mzurii nampaa hela ya maana naleta hapo nyumbani anifulieeee...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tena akimaliza namwambia twende nkakupe hela yakoo
 
Back
Top Bottom