Mr Kazembe
JF-Expert Member
- Mar 24, 2019
- 386
- 514
Habari wana jamvi mke wangu ni mjamzito ana mimba changa ila tumbo linamuuma sana nikienda hospital ya private akapata majibu haya kua asitumie dawa yoyote na arudi baada ya wiki mbili majibu yenyewe ni haya Sasa tumbo linamuuma sana sijui nifanyeje na hospital wamesema asitumie dawa yoyote.