Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,231
- 22,494
Nimetoa Pahala mkuuMkuu hii story inakuhusu wewe au umetoa sehemu?
Unajibiwa kama ulivyoiletaNimetoa Pahala mkuu
Kama ni serious huna maamuzi hadi sasa...muache na achana na mambo ya ndoa sio fani yako endelea kulijia mibususu tu uishi.Niko kwenye ndoa miaka 7 na mke wangu, kila kitu kilikua vizuri mpaka wiki mbili zilizopita, mke wangu aliniaga kuwa anaenda safari ya kikazi. Yeye anafanya kwenye kampuni ya Baba yake ambayo inahusika na ujenzi, Baba yake ni mhandisi.
simu nyumbani, nikamuuliza walirudi saa nngapi akaniambia kwenye saa kumi alfajiri kwani Baba yake alikunywa sana.
Vunja mji huo haraka, aisee kweli kila mtu na akili zake, vunja ndoa hiyo, mpe talaka, hizo picha zitunze zitakusaidia wakati wa kutoa talakaNiko kwenye ndoa miaka 7 na mke wangu, kila kitu kilikua vizuri mpaka wiki mbili zilizopita, mke wangu aliniaga kuwa anaenda safari ya kikazi. Yeye anafanya kwenye kampuni ya Baba yake ambayo inahusika na ujenzi, Baba yake ni mhandisi.
Mara nyingi hua wansafiri pamoja na sina wasiwasi kwani nilikua naamini ni Baba yake hakuna shida. Lakini safari hii kuna kitu kilibadilika, mke wangu alikua hapokei simu, nilishikwa na wasiwasi nilitaka kumpigia Baba yake lakini nikaona haitakua poa.
Kwahiyo ni ikama nilipiga simu ikakata, kwamaana iliita sekunde moja tu. Nikakaa kimya kwani ilikua ni usiku kama saa nne hivi na nilitaka kujua tu kama wamefika au la. Niliendelea kumpigia simu mke wangu ila iliita tu bila kupokea.
Usiku kwenye saa nane hivi simu yangu iliita, kwakua nilikua bado sijalala vizuri kwani bado nilikua na mawazo kwanini mke wangu hapokei simu nikakuta ni Baba mkwe anapiga, ninapokea nikihisi labda ananiabia kitu, lakini alikua haongei, ghafla nikasikia sauri ya kama watu wamelewa wanaongea vitu havieleweki.
Baadaye nasikia sauti za miguno ya mapenzi, nilisikiliza kama dakika 5 hivi nikakata nikaona hayanihusu. Asubuhi mke wangu alinipigia na kuniambia alitoka na Baba yake na rafiki zake akasahaua simu nyumbani, nikamuuliza walirudi saa nngapi akaniambia kwenye saa kumi alfajiri kwani Baba yake alikunywa sana.
Nilipata shaka kwani usiku wake nilisikia vitu vya ajabu kama alikua na Baba yake inamaana ni yeye alikua anafanya mapenzi na Baba yake? Nilikaa kimya sikutaka hata kufikiria hicho kitu, lakini aliporudi nilihisi kama kuna mabadiliko, akawa hana furaha, yaani ni kama kuna kitu alikua anaficha.
Niliamua kuhack simu yake, kusema kweli natamani nisingefanya hivyo, nilikuta mke wangu wanatumiana picha za uchi na baba yake mzazi, uchi wa mnyama na nyingine ni kama video walichukua wakiwa kitandani uchi. Nilitaka kukaa kimya ila nilishindwa kuvumilia.
Nikaamua kumuuliza mke wangu kwanini wanatumiana picha za namna ile, nikidhani kama atashtuka aliniambia nisamehe tulilewa ndiyo tukajikuta tuko hivi ni Baba alipiga na simu yangu akaniamia nimntumie, hata hakuna kitu.
Anaongea kama vile ni kitu cha kawaida, nilimuuliza kama ana mahusiano na Baba yake akakataa katakata, utakufa na ushamba wako kwani kuna nini Baba kuniona hivyo wakati nikiwa mdogo alikua ananiogesha.
Nikilasirika na kutaka kumpiga tukaishia kusukumana akaondoka mpaka leo hajarudi, ananitumia meseji hawezi kuishi na mimi kwani nina hasira, kama unakasirika kwa vitu vidogo kama hivyo ukijua mengine si utakufa. Alinitumia meseji, ananiambia nimpe talaka yake hahitaji kuishi na mwanaume ambaye simuelewa.
Nimechanganyikiwa sijui nifanye nini? Mke wangu nampenda, tuna watoto wawili, kila kitu kilikua vizuri. Natamani kumuacha lakijni sina uhakika kama wana mahusaino na Baba yake au la, vipi wanangu wataishije, nimekwama naomba suaidizi wako, kila nikiwaza nahisi kuchanganyikiwa.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Sisi tunakung'ang'ania mwenyewe [emoji23] [emoji23]
Ngoja Dawa ikukolee[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Daaah nimeyabananga [emoji38][emoji38][emoji38]Ngoja Dawa ikukolee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Apo full kudindishana mke akienda kwao lazima doggy style ihusike Jogoo anakula kifaragha
Pole mkuu, haijalishi ni C&P.Niko kwenye ndoa miaka 7 na mke wangu, kila kitu kilikua vizuri mpaka wiki mbili zilizopita, mke wangu aliniaga kuwa anaenda safari ya kikazi. Yeye anafanya kwenye kampuni ya Baba yake ambayo inahusika na ujenzi, Baba yake ni mhandisi.
Mara nyingi hua wansafiri pamoja na sina wasiwasi kwani nilikua naamini ni Baba yake hakuna shida. Lakini safari hii kuna kitu kilibadilika, mke wangu alikua hapokei simu, nilishikwa na wasiwasi nilitaka kumpigia Baba yake lakini nikaona haitakua poa.
Kwahiyo ni ikama nilipiga simu ikakata, kwamaana iliita sekunde moja tu. Nikakaa kimya kwani ilikua ni usiku kama saa nne hivi na nilitaka kujua tu kama wamefika au la. Niliendelea kumpigia simu mke wangu ila iliita tu bila kupokea.
Usiku kwenye saa nane hivi simu yangu iliita, kwakua nilikua bado sijalala vizuri kwani bado nilikua na mawazo kwanini mke wangu hapokei simu nikakuta ni Baba mkwe anapiga, ninapokea nikihisi labda ananiabia kitu, lakini alikua haongei, ghafla nikasikia sauri ya kama watu wamelewa wanaongea vitu havieleweki.
Baadaye nasikia sauti za miguno ya mapenzi, nilisikiliza kama dakika 5 hivi nikakata nikaona hayanihusu. Asubuhi mke wangu alinipigia na kuniambia alitoka na Baba yake na rafiki zake akasahaua simu nyumbani, nikamuuliza walirudi saa nngapi akaniambia kwenye saa kumi alfajiri kwani Baba yake alikunywa sana.
Nilipata shaka kwani usiku wake nilisikia vitu vya ajabu kama alikua na Baba yake inamaana ni yeye alikua anafanya mapenzi na Baba yake? Nilikaa kimya sikutaka hata kufikiria hicho kitu, lakini aliporudi nilihisi kama kuna mabadiliko, akawa hana furaha, yaani ni kama kuna kitu alikua anaficha.
Niliamua kuhack simu yake, kusema kweli natamani nisingefanya hivyo, nilikuta mke wangu wanatumiana picha za uchi na baba yake mzazi, uchi wa mnyama na nyingine ni kama video walichukua wakiwa kitandani uchi. Nilitaka kukaa kimya ila nilishindwa kuvumilia.
Nikaamua kumuuliza mke wangu kwanini wanatumiana picha za namna ile, nikidhani kama atashtuka aliniambia nisamehe tulilewa ndiyo tukajikuta tuko hivi ni Baba alipiga na simu yangu akaniamia nimntumie, hata hakuna kitu.
Anaongea kama vile ni kitu cha kawaida, nilimuuliza kama ana mahusiano na Baba yake akakataa katakata, utakufa na ushamba wako kwani kuna nini Baba kuniona hivyo wakati nikiwa mdogo alikua ananiogesha.
Nikilasirika na kutaka kumpiga tukaishia kusukumana akaondoka mpaka leo hajarudi, ananitumia meseji hawezi kuishi na mimi kwani nina hasira, kama unakasirika kwa vitu vidogo kama hivyo ukijua mengine si utakufa. Alinitumia meseji, ananiambia nimpe talaka yake hahitaji kuishi na mwanaume ambaye simuelewa.
Nimechanganyikiwa sijui nifanye nini? Mke wangu nampenda, tuna watoto wawili, kila kitu kilikua vizuri. Natamani kumuacha lakijni sina uhakika kama wana mahusaino na Baba yake au la, vipi wanangu wataishije, nimekwama naomba suaidizi wako, kila nikiwaza nahisi kuchanganyikiwa.
.
Wakuu hii ni Copy and Paste Kutoka Sehemu Nyingine