Mke wangu na baba yake wanatumiana picha za uchi!

Daah. Kaongee na baba yake kabsa. Ajue umejua. Mpe talaka yake. Maisha mapya yatakuja. Na mama yake kama yupo ajue.
 
🀣🀣🀣

Mad Max utaoa lini?
 
Kaa kimya nakuambia kaaa kimya usijishugulishe nae.

Hata akiimba talaka Kaa kimya Wala usijitikise.

Mchape kisaikolojia kwa kukaa kimya

Jifanye inakuuma na aone Hali Yako atakuringishia atakudengulia atakukomesha utajuta

Kumwacha hutoweza ukimbuka utamu wake na wanao.

We Kaa kimya tafuta mpango wa kando piga utoe sumu ya kichwani mental presure


Talaka usije kumpa hadi arudi default factory settings mwenyewe.

Na kukuhakishia analiwa na babake na atakuja Kiri huko mbele

Hapo Sasa unamlima. Talaka mama jeni bye bye!!!
 
Watu tunataka vitu real wewe unaleta copy n paste mada ambazo ziko serious

haya majibu yake huna maana hujui chochote kuhusu huyo binti na baba ake

hebu acha chukulia JF kama mtandao wa watu kupoteza tu muda,tuavyoandika

na kushauri watu sio kwamba hatuna kazi za kufanya unaona nawewe uanzishe uzi

uchoshe watu,unaboa na usirudie wakati mwingine njoo na jambo linalokuhusu ambalo

kweli linahtaji utatuzi,mada za humu zinasaidia watu miaka na miaka hatushauriani tu kupoteza muda hapa.
 
Ungetupiamo na tupicha twenyewe ili ushauriwe vizuri.
 
Baba we umelogwaaaa amini kwambaaa
 
Mambo yake muachie mwenyewe, fanya mambo mengine...
 
Daaaaaaah,pole sana bloangu
Piga chini laanakum hyo
 
Unampenda lakini yeye anampenda babake
 
Toa huu upuuzi, kama haikuhusu umeitoa sehemu haitakuwa na maana kabisa. Kama ni wewe si useme tu. Kwan nani anakujua humu. (pole kwa kuchapiwa na baba mkwe)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…