Mke wangu na baba yake wanatumiana picha za uchi!

Mke wangu na baba yake wanatumiana picha za uchi!

Vijana mnakwama wapi.....hili nalo ni la kuja kuomba ushauri kwel.....???

Ndio maana wanawake wanadai usawa kama hizi ndio akili za vijana
 
Eti huna uhakika kama anamahusiano na umesema umeona video wapo bed sasa ili kupata uhakika ulotaka uone nn kwa mfano kuna vitu vinaudhiiiiiii
 
Angalia watoto wa siku hizi mnawaacha wanavaa hivyo mbele ya baba
Sasa mama anaona sawa tu mwanae avae hivyo mbele ya baba yake

Maadili yameharibika sana mpaka baba wengine wwmekuwa mazezeta na misukule na wanatawaliwa na wanawake na watoto

Hapo utamlaumu nani? Baba? Mama?
Au serikali maana kuna watu wanalaumu kila kitu mobile phones na utandawazi

Dunia imeisha Enzi zetu hata mvulana hasogei hapo
Screenshot_20221106-113919_Twitter.jpg
 
Daaaaaah vijana wa siku hizi bhanaaa
Ukute huyu kwenye sensa alihesabiwa kama mwanaume, wakati hana maamuzi na tabia za kiume
 
Niko kwenye ndoa miaka 7 na mke wangu, kila kitu kilikua vizuri mpaka wiki mbili zilizopita, mke wangu aliniaga kuwa anaenda safari ya kikazi. Yeye anafanya kwenye kampuni ya Baba yake ambayo inahusika na ujenzi, Baba yake ni mhandisi.

Mara nyingi hua wansafiri pamoja na sina wasiwasi kwani nilikua naamini ni Baba yake hakuna shida. Lakini safari hii kuna kitu kilibadilika, mke wangu alikua hapokei simu, nilishikwa na wasiwasi nilitaka kumpigia Baba yake lakini nikaona haitakua poa.

Kwahiyo ni ikama nilipiga simu ikakata, kwamaana iliita sekunde moja tu. Nikakaa kimya kwani ilikua ni usiku kama saa nne hivi na nilitaka kujua tu kama wamefika au la. Niliendelea kumpigia simu mke wangu ila iliita tu bila kupokea.

Usiku kwenye saa nane hivi simu yangu iliita, kwakua nilikua bado sijalala vizuri kwani bado nilikua na mawazo kwanini mke wangu hapokei simu nikakuta ni Baba mkwe anapiga, ninapokea nikihisi labda ananiabia kitu, lakini alikua haongei, ghafla nikasikia sauri ya kama watu wamelewa wanaongea vitu havieleweki.

Baadaye nasikia sauti za miguno ya mapenzi, nilisikiliza kama dakika 5 hivi nikakata nikaona hayanihusu. Asubuhi mke wangu alinipigia na kuniambia alitoka na Baba yake na rafiki zake akasahaua simu nyumbani, nikamuuliza walirudi saa nngapi akaniambia kwenye saa kumi alfajiri kwani Baba yake alikunywa sana.

Nilipata shaka kwani usiku wake nilisikia vitu vya ajabu kama alikua na Baba yake inamaana ni yeye alikua anafanya mapenzi na Baba yake? Nilikaa kimya sikutaka hata kufikiria hicho kitu, lakini aliporudi nilihisi kama kuna mabadiliko, akawa hana furaha, yaani ni kama kuna kitu alikua anaficha.

Niliamua kuhack simu yake, kusema kweli natamani nisingefanya hivyo, nilikuta mke wangu wanatumiana picha za uchi na baba yake mzazi, uchi wa mnyama na nyingine ni kama video walichukua wakiwa kitandani uchi. Nilitaka kukaa kimya ila nilishindwa kuvumilia.

Nikaamua kumuuliza mke wangu kwanini wanatumiana picha za namna ile, nikidhani kama atashtuka aliniambia nisamehe tulilewa ndiyo tukajikuta tuko hivi ni Baba alipiga na simu yangu akaniamia nimntumie, hata hakuna kitu.

Anaongea kama vile ni kitu cha kawaida, nilimuuliza kama ana mahusiano na Baba yake akakataa katakata, utakufa na ushamba wako kwani kuna nini Baba kuniona hivyo wakati nikiwa mdogo alikua ananiogesha.

Nikilasirika na kutaka kumpiga tukaishia kusukumana akaondoka mpaka leo hajarudi, ananitumia meseji hawezi kuishi na mimi kwani nina hasira, kama unakasirika kwa vitu vidogo kama hivyo ukijua mengine si utakufa. Alinitumia meseji, ananiambia nimpe talaka yake hahitaji kuishi na mwanaume ambaye simuelewa.

Nimechanganyikiwa sijui nifanye nini? Mke wangu nampenda, tuna watoto wawili, kila kitu kilikua vizuri. Natamani kumuacha lakijni sina uhakika kama wana mahusaino na Baba yake au la, vipi wanangu wataishije, nimekwama naomba suaidizi wako, kila nikiwaza nahisi kuchanganyikiwa.
.
Wakuu hii ni Copy and Paste Kutoka Sehemu Nyingine
Pole sana chief. Niliwahi sikia habari flani kama hii huku mtaani kwetu juu ya mzee mmoja mfanyabiashara mkubwa sana .

Mzee aliachwa na mke aliyezaa naye mabinti wawili. Unaambiwa anapiga bint yake mkubwa na mdogo bila aibu japokuwa bint mkubwa alishaolewa.

Mabinti wakirudi home wanampa penzi then wanarudi kwa waume zao
 
Duuuh,hamna mke hapo mkuu.

Hamna hamna.,kaza moyo tu umptupe
 
Niko kwenye ndoa miaka 7 na mke wangu, kila kitu kilikua vizuri mpaka wiki mbili zilizopita, mke wangu aliniaga kuwa anaenda safari ya kikazi. Yeye anafanya kwenye kampuni ya Baba yake ambayo inahusika na ujenzi, Baba yake ni mhandisi.

Mara nyingi hua wansafiri pamoja na sina wasiwasi kwani nilikua naamini ni Baba yake hakuna shida. Lakini safari hii kuna kitu kilibadilika, mke wangu alikua hapokei simu, nilishikwa na wasiwasi nilitaka kumpigia Baba yake lakini nikaona haitakua poa.

Kwahiyo ni ikama nilipiga simu ikakata, kwamaana iliita sekunde moja tu. Nikakaa kimya kwani ilikua ni usiku kama saa nne hivi na nilitaka kujua tu kama wamefika au la. Niliendelea kumpigia simu mke wangu ila iliita tu bila kupokea.

Usiku kwenye saa nane hivi simu yangu iliita, kwakua nilikua bado sijalala vizuri kwani bado nilikua na mawazo kwanini mke wangu hapokei simu nikakuta ni Baba mkwe anapiga, ninapokea nikihisi labda ananiabia kitu, lakini alikua haongei, ghafla nikasikia sauri ya kama watu wamelewa wanaongea vitu havieleweki.

Baadaye nasikia sauti za miguno ya mapenzi, nilisikiliza kama dakika 5 hivi nikakata nikaona hayanihusu. Asubuhi mke wangu alinipigia na kuniambia alitoka na Baba yake na rafiki zake akasahaua simu nyumbani, nikamuuliza walirudi saa nngapi akaniambia kwenye saa kumi alfajiri kwani Baba yake alikunywa sana.

Nilipata shaka kwani usiku wake nilisikia vitu vya ajabu kama alikua na Baba yake inamaana ni yeye alikua anafanya mapenzi na Baba yake? Nilikaa kimya sikutaka hata kufikiria hicho kitu, lakini aliporudi nilihisi kama kuna mabadiliko, akawa hana furaha, yaani ni kama kuna kitu alikua anaficha.

Niliamua kuhack simu yake, kusema kweli natamani nisingefanya hivyo, nilikuta mke wangu wanatumiana picha za uchi na baba yake mzazi, uchi wa mnyama na nyingine ni kama video walichukua wakiwa kitandani uchi. Nilitaka kukaa kimya ila nilishindwa kuvumilia.

Nikaamua kumuuliza mke wangu kwanini wanatumiana picha za namna ile, nikidhani kama atashtuka aliniambia nisamehe tulilewa ndiyo tukajikuta tuko hivi ni Baba alipiga na simu yangu akaniamia nimntumie, hata hakuna kitu.

Anaongea kama vile ni kitu cha kawaida, nilimuuliza kama ana mahusiano na Baba yake akakataa katakata, utakufa na ushamba wako kwani kuna nini Baba kuniona hivyo wakati nikiwa mdogo alikua ananiogesha.

Nikilasirika na kutaka kumpiga tukaishia kusukumana akaondoka mpaka leo hajarudi, ananitumia meseji hawezi kuishi na mimi kwani nina hasira, kama unakasirika kwa vitu vidogo kama hivyo ukijua mengine si utakufa. Alinitumia meseji, ananiambia nimpe talaka yake hahitaji kuishi na mwanaume ambaye simuelewa.

Nimechanganyikiwa sijui nifanye nini? Mke wangu nampenda, tuna watoto wawili, kila kitu kilikua vizuri. Natamani kumuacha lakijni sina uhakika kama wana mahusaino na Baba yake au la, vipi wanangu wataishije, nimekwama naomba suaidizi wako, kila nikiwaza nahisi kuchanganyikiwa.
.
Wakuu hii ni Copy and Paste Kutoka Sehemu Nyingine
Yaani mpaka hapa hujamuacha huyu shetani? Wewe jamaa una tatizo la akili sio bure!!
 
Niko kwenye ndoa miaka 7 na mke wangu, kila kitu kilikua vizuri mpaka wiki mbili zilizopita, mke wangu aliniaga kuwa anaenda safari ya kikazi. Yeye anafanya kwenye kampuni ya Baba yake ambayo inahusika na ujenzi, Baba yake ni mhandisi.

Mara nyingi hua wansafiri pamoja na sina wasiwasi kwani nilikua naamini ni Baba yake hakuna shida. Lakini safari hii kuna kitu kilibadilika, mke wangu alikua hapokei simu, nilishikwa na wasiwasi nilitaka kumpigia Baba yake lakini nikaona haitakua poa.

Kwahiyo ni ikama nilipiga simu ikakata, kwamaana iliita sekunde moja tu. Nikakaa kimya kwani ilikua ni usiku kama saa nne hivi na nilitaka kujua tu kama wamefika au la. Niliendelea kumpigia simu mke wangu ila iliita tu bila kupokea.

Usiku kwenye saa nane hivi simu yangu iliita, kwakua nilikua bado sijalala vizuri kwani bado nilikua na mawazo kwanini mke wangu hapokei simu nikakuta ni Baba mkwe anapiga, ninapokea nikihisi labda ananiabia kitu, lakini alikua haongei, ghafla nikasikia sauri ya kama watu wamelewa wanaongea vitu havieleweki.

Baadaye nasikia sauti za miguno ya mapenzi, nilisikiliza kama dakika 5 hivi nikakata nikaona hayanihusu. Asubuhi mke wangu alinipigia na kuniambia alitoka na Baba yake na rafiki zake akasahaua simu nyumbani, nikamuuliza walirudi saa nngapi akaniambia kwenye saa kumi alfajiri kwani Baba yake alikunywa sana.

Nilipata shaka kwani usiku wake nilisikia vitu vya ajabu kama alikua na Baba yake inamaana ni yeye alikua anafanya mapenzi na Baba yake? Nilikaa kimya sikutaka hata kufikiria hicho kitu, lakini aliporudi nilihisi kama kuna mabadiliko, akawa hana furaha, yaani ni kama kuna kitu alikua anaficha.

Niliamua kuhack simu yake, kusema kweli natamani nisingefanya hivyo, nilikuta mke wangu wanatumiana picha za uchi na baba yake mzazi, uchi wa mnyama na nyingine ni kama video walichukua wakiwa kitandani uchi. Nilitaka kukaa kimya ila nilishindwa kuvumilia.

Nikaamua kumuuliza mke wangu kwanini wanatumiana picha za namna ile, nikidhani kama atashtuka aliniambia nisamehe tulilewa ndiyo tukajikuta tuko hivi ni Baba alipiga na simu yangu akaniamia nimntumie, hata hakuna kitu.

Anaongea kama vile ni kitu cha kawaida, nilimuuliza kama ana mahusiano na Baba yake akakataa katakata, utakufa na ushamba wako kwani kuna nini Baba kuniona hivyo wakati nikiwa mdogo alikua ananiogesha.

Nikilasirika na kutaka kumpiga tukaishia kusukumana akaondoka mpaka leo hajarudi, ananitumia meseji hawezi kuishi na mimi kwani nina hasira, kama unakasirika kwa vitu vidogo kama hivyo ukijua mengine si utakufa. Alinitumia meseji, ananiambia nimpe talaka yake hahitaji kuishi na mwanaume ambaye simuelewa.

Nimechanganyikiwa sijui nifanye nini? Mke wangu nampenda, tuna watoto wawili, kila kitu kilikua vizuri. Natamani kumuacha lakijni sina uhakika kama wana mahusaino na Baba yake au la, vipi wanangu wataishije, nimekwama naomba suaidizi wako, kila nikiwaza nahisi kuchanganyikiwa.
.
Wakuu hii ni Copy and Paste Kutoka Sehemu Nyingine
We Ni nkundu
 
Wakwetu mnawaita wa singo maza, mnaoa waliolelewa na baba. Hapa hapa yupo binti kazaa na baba yake mzazi.

Mtajijua,

Vumilieni

Lakini hakuna shida, mbona wote tunazaana ndugu wa damu moja? Vitabu vitakatifu vibatuambia kuwa wote ni watoto wa Adam na Eva/Hawa! Kwa hiyo siyo jambo geni kama huyu kazaa na Baba yake! Tunazaana ndugu wa damu moja hata tungejifanya kupiga chenga kwa kusema tupo koo au kabila au mataifa tofauti, damu ni ile ile! Au nasema uwongo ndugu zangu!
 
Mpelekee nange hizo picha ule miambili elfu angalau 10% ya mahari ukanywe pombe ujiliwaze
 
Back
Top Bottom