Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,442
Naona Corona imekuwa kisingizio kipya sasa kwa wababa...teh[emoji23]
Halafu kakaa kiutamu utamu yani minyama nyama[emoji39][emoji39][emoji39]Hivi mtu anakuwaje that fat aseee!!
Na wao wanakushangaa ulivyo kimbaumbau[emoji28][emoji28].Hivi mtu anakuwaje that fat aseee!!
😂😂😂😂Halafu kakaa kiutamu utamu yani minyama nyama[emoji39][emoji39][emoji39]
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wao wanakushangaa ulivyo kimbaumbau[emoji28][emoji28].
Jokes aside..usiombe unene ukukute.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao ndo wanafaa muwaache, real men eat meat[emoji847]Hivi mtu anakuwaje that fat aseee!!
Kuna wanao nenepa kwa uzembe, na pia wapo wenye asili ya kunenepa.Hivi mtu anakuwaje that fat aseee!!
Kuna maumbile ya mtu yanamfanya iwe rahisi kwake kunenepa. Wengine ni ulaji wa hovyo hovyo Kama mie hapa, wengine uzazi unawafanya wanenepe..tatizo linakuja kurudi kuwa na mwili wa kawaida hapo wengi ndo wanashindwa.Hahahahhhahh mie sio kimbaumbau,ni vile tu sijaukaribia hata huu mwili na huwa nashangaa huu unene mtu anaupataje?inakuwaje mtu anakuwa na mkono namna hii [emoji23]
Kuna wanao nenepa kwa uzembe, na pia wapo wenye asili ya kunenepa.
Hivyo basi, yawezekana hata huyo alivyo nona pengine hata yeye hapendi wala havutiwi na isipokuwa tu nilazima anenepe kwasababu hana namna nyingine ya kuzuwia unene wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mtu anakuwaje that fat aseee!!
Kuna maumbile ya mtu yanamfanya iwe rahisi kwake kunenepa. Wengine ni ulaji wa hovyo hovyo Kama mie hapa, wengine uzazi unawafanya wanenepe..tatizo linakuja kurudi kuwa na mwili wa kawaida hapo wengi ndo wanashindwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
unamchekea nani?Hahahahhhahh mie sio kimbaumbau,ni vile tu sijaukaribia hata huu mwili na huwa nashangaa huu unene mtu anaupataje?inakuwaje mtu anakuwa na mkono namna hii [emoji23]
Wengine huo ndio ugonjwa wao.Hivi mtu anakuwaje that fat aseee!!
Hivi mtu anakuwaje that fat aseee!!