Mke wangu ni mchawi ama mama ndio mchawi?

Wote ni wachawi ila kuna sehemu wametofautiana inabidi watajane kwa wakati tofauti.hao walikuwa wakitoka usiku wote sema wenda kuna tofauti ilotokea wakagombana.

Kuhusu mkeo ni muigizaji hakuna cha majinu waka nini ni mchawi poooo!

Kunali kila myu akupe dawa uone ujinga wao wote.
Ikitokea mzozo ukawa mkubwa ukatakiwa kuchagua mmoja baki na mama yako.huyo ndo huwezi pata mwingine ila mke unapata tu muda wowote.
 
Hapo chakufanya apake hizo dawa zote kwa wakati mmoja ili awaone wote
 
Okey mkuu nimekuelewa,je hawa wanao nifuata inbox ni waganga au watu wa maombi?..ningependa zaidi wangejipambanua maana hata mie nina hofu nikienda kiuganga nitaweza kupotea zaidi
mkuu mimi sio mganga we nijibu nikusaidie
 

Hii sasa ndio both teams to score katika betting...
 
Wote wachawi, katika uislam tunaamini majini hupanda Kwa watu waovu na washirikina.
We achana nao, waache warogane wauane wakuache upumzike.
Kwa waislam si kuna majini mazuri??ambayo yanasaidia na kuongoza kufanya mambo mema?
 
Kwa waislam si kuna majini mazuri??ambayo yanasaidia na kuongoza kufanya mambo mema?
Hamna hicho kitu, Jini mzuri aishi huko kwenye mazingira yake sio kupanda vichwani mwa watu, Kama ilivyo Simba mzuri aishi porini...akiingia mjini ni mbaya.
Huyo mtu anayefanya mema Kwa kuongozwa na majini Hana malipo Kwa Mungu tena ni mshirikina...Fanya mema Kwa kusukumwa na nafsi yako.
 
Kwa waislam si kuna majini mazuri??ambayo yanasaidia na kuongoza kufanya mambo mema?
Subiri nikufahamishe
Majini ni viumbe kama wewe tuu wapo wazuri na wapo wabaya kma unavoona binadamu ila sisi binadamu tumezuiliwa kuwaona ila wao wanatuona
 
piga chini mke afu fanya maisha mengine
 


Mke wako ndo mchawi wa kwanza kabla ya Mama yako, Ila Na Mama yako anaweza Kuwa mchawi
 
Tumia maji ya baraka itajulikwna mbiv na mbichi N.B maji ya ukweli ya baraka acha ya wababaishaji direct nakushaur bends KWA padre atakupatia
 
Wote ni wachawi na inaelekea wa mkeo ni Uchawi mkali zaidi. Mama yako ameshindwa. Na ninavyosikia wazazi kama kuna mchawi huwa wanapenda wapate wakwe wachawi pia. Ila naona wamehitilafiana hivyo wanamwagana Siri zao.
 
Hayo mapepo yamemuanza ghafla?? Hayo madude huwa hayapatani na uchawi, usikurupuke fuatilia taratibu utapata jibu la nani mchawi kati ya mama au mkeo, ni kibarua kizito kwako na unatakiwa kutumia busara kubwa. Yasisanuke nje.
 
Fata ushauri wa mama, Kuishi na mke mchawi utakuja kujuta Atakuendesha kama gari bovu ,. Hao wote mama + mkee ni wachawi sugu
 
Kwa wale wenye changamoto.za Majini wasikilize kipindi icho kitakua hewani kupitia Azam tv kma tangazo linavojionyesha hapo
 
Umeolewa au Umeoa?
 
Ni kweli wote wanga. Hapo wamezidiana tu,wamechenjiana. Na kuna uwezekano mkubwa walikuwa timu moja. Na upo uwezekano mama ndie alitoa mapendekezo kwa mkwewe na mtoto wake waoane baada kukutana anga zao,akampenda. Ila sasa kuna sehemu wametibuana ndio maana kila mmoja anajaribu kutengeneza huyu jamaa abaki upande wake. Hawa wote wanga. Tena wanga wao ni wa kufanana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…