Mimi Nina mtazamo tofauti na wa kwako;ambaye mchawi ni mamaake..Kwa nn?
Siku jamaa anaitwa na mdada wa kazi kuna tatizo nyumbani,alipofika mkewe Tyr alikuwa ameshapandisha majini na majini yakamwelezea hatari iliyopo mbele ya mke wake kwamba yanaelekea kushindwa vita, meanwhile mamaake anampigia simu sense kwao kuna tatizo kubwa na alipofika mama akaanza kujiliza na kutoa ushuhuda kwamba mkewe ni mchawi ..Alafu katumia defensive mechanism kwamba ooh unajua Mimi tangu nipo mtoto sijui bla bla,ili kumuwin jamaa
Moja ya Tabia ya wachawi ni unafiki,mchawi anaweza kukuloga usiku kucha asubuhi akaja kukujulia Hali,si umeona alichokifanya mama? Aliposhtukiwa deal limebumbuluka akamuwahi mtoto wake fasta kumstakia kwamba mkewe mchawi
Kinachotokea Kwa huyu jamaa ni kuuziwa ugomvi(vita) baina ya hawa wawili,mama na mke
Mama ana Tabia za ulozi na mke ana wadudu kichwani wanaomlinda,sasa kuna vita baina ya hawa wawili na anayeelekea kushinda ni mama,maana wadudu wa mama wamekili wanaelekea kulamba mchanga.Ni alert Kwa jamaa
Mkuu
The MaskmaN hapo maamuzi ya Suleiman yanahitajika..Hekima ndy itaamua.Ila usimwamini mamaako pia,ni tishio Kwa mkeo
Km ni mmristo Sali na kufunga km kiislamu watakupa mwongozo