Mke wangu ni mchawi ama mama ndio mchawi?

Mke wangu ni mchawi ama mama ndio mchawi?

Asante mkuu,ila yeye hakusema kama anaweza kuona ya mbeleni bali ana uwezo wa kuona mauza uza ndivyo nilivyo muelewa

Nami nimemaanisha kama ulivyoelewa mkuu...

Nimeuliza hivyo kwa kuwa mama yako kasema ana karama hiyo muda mrefu, na ninaamini endapo mkeo ni mchawi ina maana ulimuoa akiwa mchawi, hivyo mama yako angeliona hilo kabla na angekuepusha kuoa mchawi...

Unajua wachawi huwa wanajuana, na wakati mwingine huwa wanaungana kufanya mambo yao, na wakivurugani huwa ni mwendo wa kuwindana kutaka kuuana...
 
Habari wana JF

Mimi ndugu yenu nina makubwa ambayo yamenifika na sijui nitayatatua vipi?

Nina mke wangu nilimuoa mwaka 2015,baada ya kuishi nae miaka kama mi 7 sasa kuna siku juzi nipo kazini nikapokea simu kutoka kwa mdada wa kazi pale nyumbani akinitaka nirudi haraka nyumbani, bila kusita nikafanya hivyo baada ya kama lisaa nikawa nishafika nyumbani,nikamkuta mke wangu kakaa chini sebuleni kama analia afu mdada wa kazi kasimama...nikamuuliza mdada kuna nini hapa akaniambia naona kama dada kapandisha
Bujibuji Simba Nyanaume loves your story.

Nitakuletea Dawa kiboko ya kuwatoa uchawi mkeo na mama yako, kwani wote ni vigagula au wampyempye wapepeao
 
Asslm Alykum Warahmatullah, Ndg Nikueleze Tu Kuwa Hapo Hakuna Mchawi Kati Ya Mkeo Na Mamayo Ila Wanachokitaka Masheitwani Ni Kuivunja Hiyo Ndoa Yakoh Mashetani Wanaichezea Akili Yakoh Ndg Kama Upo Dar Nicheki Nikusaidie Mashetani Walishaapa Kuwapoteza Wanaadamu Na Kuharibu Vizazi Vyao Nitafute Kwa Msaada Zaidi Wasijuchanganye Kichwa Hao Ni Vitu Vidogo Sana...Nawasilisha
 
Asante mkuu,ila yeye hakusema kama anaweza kuona ya mbeleni bali ana uwezo wa kuona mauza uza ndivyo nilivyo muelewa
Kama anao huo uwezo wa kuyaona hayo mauza uza angeyaona kwa mkeo siku ya kwanza tu ulipo mpeleka ukweni.
 
Ndio mchawi au madingi ukimpulizia moshi wa weed ni kama vile umemwagia acid au umemfungulia Hyrdogen Cyanide gas.
Sawa. Huyu jamaa tayari anajua mke wake ana majini ambapo inawezekana pia mke wake wala hana majini alikuwa anajiigiza tu ili akisema kuhusu mama wa jamaa asiulizwe amejuaje.

Ila sasa huyu anachotaka kujua ni kama mke wake ni mchawi. Akivuta bangi hata mke wake akishindwa kukaa bado anaweza kujidai ni majini yake hayataki avute bangi huko ndani. Hivo bado atashindwa kuthibitisha kama ni mchawi au ni kiti wa majini.
 
Sawa. Huyu jamaa tayari anajua mke wake ana majini ambapo inawezekana pia mke wake wala hana majini alikuwa anajiigiza tu ili akisema kuhusu mama wa jamaa asiulizwe amejuaje.

Ila sasa huyu anachotaka kujua ni kama mke wake ni mchawi. Akivuta bangi hata mke wake akishindwa kukaa bado anaweza kujidai ni majini yake hayataki avute bangi huko ndani. Hivo bado atashindwa kuthibitisha kama ni mchawi au ni kiti wa majini.
Sasa hata akijua kuwa ni mchawi atafanya nini? Kwanza ipo wazi kuwa mkewe na mama yake wote ni wachawi. Sasa kuhusu kuwa afanye nini mimi sina msaada nae.
 
MKEO NI MCHAWI.
Hata kama mama ni mchawi hana madhara kwako, tangu upo tumboni hadi. leo hii, angetaka kukuua mbona angekumaliza mapema sana?

mwisho kabisa,
Ingia kwenye maombi na ukitaka msaada wa maombezi karibu PM yangu. Bure kabisaa
Mimi Nina mtazamo tofauti na wa kwako;ambaye mchawi ni mamaake..Kwa nn?

Siku jamaa anaitwa na mdada wa kazi kuna tatizo nyumbani,alipofika mkewe Tyr alikuwa ameshapandisha majini na majini yakamwelezea hatari iliyopo mbele ya mke wake kwamba yanaelekea kushindwa vita, meanwhile mamaake anampigia simu sense kwao kuna tatizo kubwa na alipofika mama akaanza kujiliza na kutoa ushuhuda kwamba mkewe ni mchawi ..Alafu katumia defensive mechanism kwamba ooh unajua Mimi tangu nipo mtoto sijui bla bla,ili kumuwin jamaa

Moja ya Tabia ya wachawi ni unafiki,mchawi anaweza kukuloga usiku kucha asubuhi akaja kukujulia Hali,si umeona alichokifanya mama? Aliposhtukiwa deal limebumbuluka akamuwahi mtoto wake fasta kumstakia kwamba mkewe mchawi

Kinachotokea Kwa huyu jamaa ni kuuziwa ugomvi(vita) baina ya hawa wawili,mama na mke
Mama ana Tabia za ulozi na mke ana wadudu kichwani wanaomlinda,sasa kuna vita baina ya hawa wawili na anayeelekea kushinda ni mama,maana wadudu wa mke wamekili wanaelekea kulamba mchanga.Ni alert Kwa jamaa

Mkuu The MaskmaN hapo maamuzi ya Suleiman yanahitajika..Hekima ndy itaamua.Ila usimwamini mamaako pia,ni tishio Kwa mkeo
Km ni mmristo Sali na kufunga km kiislamu watakupa mwongozo
 
Back
Top Bottom