Hii kitu kama ni yakweli inaweka njia panda.
Je mkeo kwa miaka yote hiyo majina yanapambana mpaka majuzi????? Hiii
Je mama yetu ,miaka saba hakuona uchawi, mpaka majuzi hiii ????.
Mama yetu ni Mwanga , Mkeo ni MTU wa waganga sana.
Na nguvu zao zinashindana !!!.
Cha kufanya .... Wewe Jikite kwenye maombi ya kweli na yamoyoni., umlilie Bwana Yesu, Bwana wa Majeshi , Mfalme wa wafalme, Mungu wa Miungu.
Ukijiingiza kwenye mtego wa Waganga, au kuegemea mahali Fulani , WEWE MWENYEWE UTAKUFA.
MKEO ASIPOKUUA, MAMA YETU ATAKUUA.