Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
nitakeradhi mkuu. Hapa hatuongelei uzinzi! Mimi siyo mzinzi! Sijawahi kwenda huko unapoendaga wewe!!!:nono:
mpwa na wewe utaniwi kipindi cha uzee ulintania sasa zamu yangu nimerudi na mchina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nitakeradhi mkuu. Hapa hatuongelei uzinzi! Mimi siyo mzinzi! Sijawahi kwenda huko unapoendaga wewe!!!:nono:
nitakeradhi mkuu. Hapa hatuongelei uzinzi! Mimi siyo mzinzi! Sijawahi kwenda huko unapoendaga wewe!!!:nono:
Pole sana kwa hali inayokukuta,kama hali itazidi kuwa mbaya suluhisho ni kumpeleka kwa wazazi mpaka atakapojifungua na mambo yatarudi kama zamani,wanawake wengi wamekuwa na tabia tofauti tofauti wakati wa ujauzito na wakati mwingine huwa ni vigumu sana kudhibiti hali hiyo hasa kama mwanaume si mzoefu wa maisha ya ndoa.Huu ni wakati wako wa kutumia akili ya ziada katika kukabiliana na hili.