Mke wangu ni mkorofi hatari

Mke wangu ni mkorofi hatari

Jeneralis

Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
8
Reaction score
23
Habari wana JF.

Nina mke wangu ni mkorofi kupindukia, ana mdomo, muongo, mchonganishi, ana hasira, mropokaji. Halafu yeye ndo wa kwanza kupiga simu kwa ndugu akiwaambia namnyanyasa sana. Kwakuwa mimi siyo mwepesi wa kutoa taarifa za ugomvi wanaamini asemacho mke wangu ananikosesha amani kiasi kwamba nashindwa kutulia kazini. Nimejaribu kutafuta suluhu kwa wazazi wa pande zote mbili,kaka zake,majirani zetu mpaka kwa balozi lakini haijasaidia chochote.

Mbaya zaidi anajitapa kwa uchawi na nguvu za giza akisaidiwa na mjomba yake ambaye ni mganga wa kienyeji.na kwamba nikimfukuza ataniroga na kuniharibia maisha.

Naomba msaada wenu mke kama huyu nimfanye tuishi kwa amani au tuachane kwa usalama Kabila lake ni Mjita wa Musoma.mara nyingine nafikiria kufanya jambo baya na la hatari lakini moyo unasita.

NAPATA TABU NA NDOA YANGU hadi naona bora nitoe roho nipotee
 
Mkuu samahani, kabla ya kufunga nae ndoa hizo tabia alikua nazo? Ushauri wangu mwambie aende kupumzika hme kwanza mpaka atakapoamua yeye mwenyewe kurudi hme nafkiri akirudi atarudi na heshima kaza roho meza fupa kaa mwenyewe hme mpaka atakapojirekebisha.

Wanaume kitu chakwanza kabla ya kuowa tuangalie tabia, kuna wanawake wazuri sana wengi wenye mabody mazuri sura nzuri wameachwa kutokana na tabia kama izo
 
Mpeleke polisi....then mahakamani.

KOSA: Msumbufu, mchawi, anatishia
kujeruhi.

USHAHIDI: Hakuna

HUKUMU 1: Mpe talaka then mgawane mali.

HUKUMU 2: Endeleeni kuishi, na wewe anza usumbufu, anza kumroga, anza kichapo na usirudi tena hapa.
 
Mwanaume ndio kichwa cha familia, wewe komaa naye tu.
 
In this World a woman's happiness lies in a Man's Leadership, Authority and Dominance na asipoipata hiyo Furaha matokeo yake ni Kua ivo unavyomuona !!.
Mtoa mada nakuhakikishia ili jambo Hata itokee upate mwanamke mpole atakusumbua sana tu and it simply because you only want a woman to mother you ndio maana unalalama kama mtoto na unahitaj akuishi kama mama yako mzazi!.
 
Mkuu samahani, kabla ya kifunga nae ndoa hizo tabia alikua nazo? Ushauri wangu mwambie aende kupumzika hme kwanza mpaka atakapoamua yeye mwenyewe kurudi hme nafkiri akirudi atarudi na heshima kaza roho meza fupa kaa mwenyewe hme mpaka atakapojirekebisha.

Wanaume kitu chakwanza kabla ya kuowa tuangalie tabia, kuna wanawake wazuri sana wengi wenye mabody mazuri sura nzuri wameachwa kutokana na tabia kama izo
Hizo tabia huwa zinafichwa si inatafutwa ndoa? Makucha hutolewa baadaye kama ndege inapotaka kutua
 
Back
Top Bottom