Fanyia kazi huu ushauri mtoa madaMkuu samahani, kabla ya kufunga nae ndoa hizo tabia alikua nazo? Ushauri wangu mwambie aende kupumzika hme kwanza mpaka atakapoamua yeye mwenyewe kurudi hme nafkiri akirudi atarudi na heshima kaza roho meza fupa kaa mwenyewe hme mpaka atakapojirekebisha.
Wanaume kitu chakwanza kabla ya kuowa tuangalie tabia, kuna wanawake wazuri sana wengi wenye mabody mazuri sura nzuri wameachwa kutokana na tabia kama izo
🤣🤣🤣Umejiwai maana Behaviourist anapenda apige tako linesenese..[emoji16][emoji16][emoji16]
🤣 🤣 🤣 ni kweli ,sasa unatakiwa kua na plan b apoHayo uliyo yaongea yanahitaji umfanyie mwanamke ambaye Ni mstaarabu. Ana high Iq ..Yuko very emotional . ana hekima na utiii ..lakini sio Hawa kina mwajuma nipe itakula kwako [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hao pindi unapo waonyesha upendo wao huwa wanatafasiri tofauti wanakuona boya yaani umekwama kwao hauna ujanja bwege mtozeni jinga la mwisho kabisa [emoji16]
Kweli waukae, Kuoa Wajita,Waikizu,Wakwaya na baadhi ya kabila nyingine za Mara ni kujitakia matatizo. Midomo,uchonganishi,kuropoka,ukorofi,uchepukaji,uzinzi,kesi za ngono,kutokuwa na uaminfu ni sehemu ya maisha yaoMpuuu kabila mjita!! pole sana mkuu hiyo siyo kabila ya kuoa. Ni kweli wanawake wa kijita wengi ni wakorofi, waongo na wachonganishi hiyo ni asili yao hawafai. Nilioa mjita nilijuta ilibidi nimkimbie nikamuachia nyumba nikaenda kuanza upya. Usipofanya uamuzi wa haraka utapata shida sana na kama siyo kupata maradhi ya moyo basi 'stroke' inakuhusu.
Kweli waukae, Kuoa Wajita,Waikizu,Wakwaya na baadhi ya kabila nyingine za Mara ni kujitakia matatizo. Midomo,uchonganishi,kuropoka,ukorofi,uchepukaji,uzinzi,kesi za ngono,kutokuwa na uaminfu ni sehemu ya maisha yao
Nyooooo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] ni kweli ,sasa unatakiwa kua na plan b apo
akili a kuambiwa unajiongeza pia 😎Nyooooo [emoji16][emoji16][emoji16]
Ha haaa ndo sinaUmejiwai maana Behaviourist anapenda apige tako linesenese..[emoji16][emoji16][emoji16]
Anaogopa kurogwa na kuharibiwa maisha.Mpandishe cheo awe Bi Mkubwa.
Tabia za wanawake kabla hawajaolewa huwezi kuzijua maana wanakuwa hawana mume wa kumfanyia vitimbi.Mkuu samahani, kabla ya kufunga nae ndoa hizo tabia alikua nazo? Ushauri wangu mwambie aende kupumzika hme kwanza mpaka atakapoamua yeye mwenyewe kurudi hme nafkiri akirudi atarudi na heshima kaza roho meza fupa kaa mwenyewe hme mpaka atakapojirekebisha.
Wanaume kitu chakwanza kabla ya kuowa tuangalie tabia, kuna wanawake wazuri sana wengi wenye mabody mazuri sura nzuri wameachwa kutokana na tabia kama izo
Mke mmoja hudumaza akili...Habari wana JF.
Nina mke wangu ni mkorofi kupindukia, ana mdomo, muongo, mchonganishi, ana hasira, mropokaji. Halafu yeye ndo wa kwanza kupiga simu kwa ndugu akiwaambia namnyanyasa sana. Kwakuwa mimi siyo mwepesi wa kutoa taarifa za ugomvi wanaamini asemacho mke wangu ananikosesha amani kiasi kwamba nashindwa kutulia kazini. Nimejaribu kutafuta suluhu kwa wazazi wa pande zote mbili,kaka zake,majirani zetu mpaka kwa balozi lakini haijasaidia chochote.
Mbaya zaidi anajitapa kwa uchawi na nguvu za giza akisaidiwa na mjomba yake ambaye ni mganga wa kienyeji.na kwamba nikimfukuza ataniroga na kuniharibia maisha.
Naomba msaada wenu mke kama huyu nimfanye tuishi kwa amani au tuachane kwa usalama Kabila lake ni Mjita wa Musoma.mara nyingine nafikiria kufanya jambo baya na la hatari lakini moyo unasita.
NAPATA TABU NA NDOA YANGU hadi naona bora nitoe roho nipotee
Mke mmoja hudumaza akili...
Hapa napo tunapata shida sana kakaTabia za wanawake kabla hawajaolewa huwezi kuzijua maana wanakuwa hawana mume wa kumfanyia vitimbi.
ha ha haa hapo ameshikwa pabaya!Anaogopa kurogwa na kuharibiwa maisha.
Nukuu "anajitapa kwa uchawi na nguvu za giza akisaidiwa na mjomba yake ambaye ni mganga wa kienyeji"
Kimsingi anayeandaliwa kwanza ni mwanamke na baada ya tendo na kuvuta pumzi ni zamu ya mwanamke kumuandaa mwanaume kwa wale wa low battery.We Jamaa fala sana ...Usilete habari za shetani na Mungu.... Kumtupia Tuu lawama mkeo wakati hujazungumza Shida zako.
Ukute hata Utamu humpi..
Kimoja chali...Tena chenyewe Cha sekunde imeisha unanakoroma Kama Mashini ya kusaga.
Husimami Kama mwanaume kwake Unategemea Nini.
Fala wewe
Kmmmk.
Kumekuwa na wimbi kubwa la wanaume kuwatupia lawama wanawake ati wamebadilika wakati sisi wanaume muda mwingine Tuna Mambo ya ajabu mnooo....
hayajakukuta mkuu,endelea kuomba yasikukute mkuuBinafsi siamini kama uchawi unafanya kazi. Mungu ni mkuu wa yote fanya maamuzi sahihi.