Ungekuwa unampenda kama unavyodai hapa, lazima ungehakikisha kila kitu kinakuwa sawa baina yenu..! Wewe si ndiye mwanaume!? Huitendei haki nafasi yako kwake trust Me..Nazo hatojibu itakua amejua nampenda sana sasa ananifanyia vitimbwi kama jamaa hapa. Wanawake hawa!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] sheeesh!!!! Mimi huyu !? You can't be serious. Me bado SanaSiyo wewe niliona pahala umesema umeoa?? Kama si mwaka Jana basi juzi.!
Enwei, wacha nisiamini ya soshomedia, ila ninaamini umeoa.!
Huyo unayemjibu comment yake inaonyesha tu hayupo kwenye ndoa wala hayajui maisha ya ndoa,hapo yupo Sebuleni anasubiri tu kengele ya Chai na Boflo.Wala sio fala. He is a good man na mke wake atakuja kujuta sana akimpoteza.
Mapenzi yanaweza kumchanganya mtu yeyote cha kufanya ni kumtanguliza Mungu katika kila jambo praying our hearts dont fall into the wrong hands.
Asante kwa kunichekesha.Huyo unayemjibu comment yake inaonyesha tu hayupo kwenye ndoa wala hayajui maisha ya ndoa,hapo yupo Sebuleni anasubiri tu kengele ya Chai na Boflo.
Na ukauzu wote mwanangu kumbe bado unapatikana!?Heshima kwako Dada,hapa nimepata madini,sasa atanitambua huyu kidomodomo wangu.
😎
Sijakuelewa hapa!Na ukauzu wote mwanangu kumbe bado unapatikana!?
Mkuu kuna wazee wetu home hata paka akilia nje mtatoa maelezo kuanzia mama na watoto wote.Hahahahaaaaa. Roho ya hivi inapatikana chuo gani?
Sawa kaka, ahsante!Mkong'oto achana nao mkuu. Akizoea tu,umeisha. Umiza kichwa buni mbinu nyingine mujarabu
Kipanya kafanya nini mkuu? Tujuzane ili tujifunze please.Mzee Hadi ufanye yote hayo kwa jitu lenye meno 32 inamaana hauna mambo mengine ya kufanya alafu ndio nyie mkifika uzeeni mnatia huruma kisa eti nguvu zenu mlizielekeza kwa wanawake badala kwenye Mambo yenu kuweni Kama kipanya
Ndivyo ilivyo, ukijifanya we' ndio wewe, sijui u romantic kwa sana, mara care za kijinga jinga lazima uumie mamaeeeMaisha haya jamani,unaweza ukawa unanyonya papuchi kijana wa watu,unanyonya hadi tigo kijana wa watu,unasimamia shoo kijana wa watu,unahonga visenti kijana wa watu na bado ukaachwa vizuri tu [emoji28]maisha haya ukiwa mbinafsi unaishi kwa furaha sana
Hongera yao!Mkuu kuna wazee wetu home hata paka akilia nje mtatoa maelezo kuanzia mama na watoto wote.
Mnahema tu mwamba akiwa hayupo..na hapo mtu hapigwi...
Mama anakuleza wazi huu ujinga wenu Mzee akijua nimeisha nyie watoto ,baba akijua nimeisha mie na ndoa yangu.
Nakueleza kuna familia nilienda kutembelea 2006 nikasema sitokuja kutembelea kwa watu tena,Yule Baba alikuwa Mkali sijawahi ona ..siku ya pili Mama mwenye nyumba alinieleza kuwa Mwanangu tulijisahau kumweleza Baba ujio wako.Ikabidi nisepe kesho yake.
Huku sisi tunajua wote yule Mama alikuwa mkali mno lakini kumbe mume wake ni Hell fire...na wapo mpaka leo hii watu wazima.
Ungekuwa unampenda kama unavyodai hapa, lazima ungehakikisha kila kitu kinakuwa sawa baina yenu..! Wewe si ndiye mwanaume!? Huitendei haki nafasi yako kwake trust Me..
Wanawake noma sana!Poleni sana wanaume..!
Ni nini kinaendelea mbona malalamiko ya wanaume na mahusiano yao yamekuwa mengi mno MMU kuliko wanawake.!?
What's going on exactly...!??
Mkuu pole sana, kitu cha kwanza nakushauli kama unaishi urope wazo la kuondoka nyumbani ama talaka litakuingiza kwenye msongo wa mawazo makubwa ama kuishia kuwa mlevi,wanawake wengi wana advantage ya kusaidiwa na hizo serikali na upande wa pili kuku panish mzazi wa kiume.Habar za saa hizi jameni...
Nimeoa mke miaka 6 iloyopita.. Nilidhani mambo yatabadilika ila Tabia ilizidi kuwa sugu kila kukicha... Tabia yenyewe anaulimi mkali saana. She don't have respect in brief.
Nimejaribu kumsihi ila hamna mabadiliko... Ana dhihirisha hataki tuwe pamoja... Ila nawahurumia watoto wangu 2 they might suffer... Ila nimefikia hatua ya ku surrender kiukweli... Ila nahofia watoto nilimuomba watoto waende kwa bi mkubwa alikataa.
Hayupo supportive kwa kila ninacho fanya.. She hates all my siblings kiukweli nimechoka ila nikiona watoto walelewe bila baba Yao huna Ina ni stress sana nimewekeza mapenzi yangu kwa watoto.
Watoto wana: mmoja Ana 4years. Mwingine 2... Asante!+ na Mungu awabariki[emoji120][emoji120]
=======
Soma zaidi:Mke wangu ni mkorofi hatari
Mungu akusaidie mkuu..!