Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
- Thread starter
-
- #121
Umemuona wapi wewe? Mwanaume kuwa mbea hivi ni dalili za ugashoKweli kabisa na Jana niliwaona pale minaki sekondari kwa mbele kidooogo
Naona bwana kini wa tatu kqwaolea vibabu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
U'r an idiot, so shut ur pie holeTitle kiswahili maelezo kizungu hii imekaaje
Lengo lako ni kuonesha unajua kuandika kiingereza vizuri
Unataka kuchukua nafasi yake?Huyu Mwanamke anaonekana Mzuri kwa sababu umempamba kwa Kiingilishi hebu ilete kwa kiswahili[emoji23]
Kwa hiyo unataka kuliwa tena?
Tumekupigia bomba mkuu huyo mkeoKwa hiyo unataka kuliwa tena?
Wewe unataka nikupige bomba saa ngapi? Usione aibu, funguka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089]Wewe unataka nikupige bomba saa ngapi? Usione aibu, funguka
Huyu soon atashika ukutaMwamba Una nyuzi za kujisifia sn..juzi Tu umetoka Kusema wanawake wanakutongoza sn insta Leo tena umekuja na hii..Una tatzo la kisaikolojia
Lazma n mmbato mama baya Kama kalamaganda kubugiUmemuona wapi wewe? Mwanaume kuwa mbea hivi ni dalili za ugasho
Sina mke.Wewe unachapwa na nani?
Dr hebu msadie huyo mtoa mada, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwamba Una nyuzi za kujisifia sn..juzi Tu umetoka Kusema wanawake wanakutongoza sn insta Leo tena umekuja na hii..Una tatzo la kisaikolojia
Huyu jamaa hayuko sawa,kuna watu wameoa wanawake warembo sn na wako kimya,yeye kila siku anakuja na mpya,nyumba ya milioni Mia tatu anayo yeye,Goba kajenga yeye,mke mrembo anaye yeye,mademu Instagram wanamtongoza yeye na bla bla kibao..mwambie akue aache utotoDr hebu msadie huyo mtoa mada, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]