Bujibuji mafuriko
Member
- Aug 5, 2022
- 88
- 119
Kama umepita basi ni kwa sababu ya mambo ya usiku usiku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima mkeka uje,nimesikia kuna ombwe kubwa sana la ufanyaji kazi wa MADAS na wakuu wa wilaya,hasahasa kwenye wilaya alizotembelea na anazizidi kuzitembelea hivi sasa,hivyo mkeka unaandaliwa.Hakuna mpango kama huo ndg,jibidishe kupiga majungu
Rehema Rajabu wa Malinyi anastahili SanaMkeka wa MADAS ukitoka,nategemea kumuona Mtela Mwampamba kwa mara nyingine tena,arudi sehemu yake.
Matapeli wakikuomba rushwa usitoeSahau kuhusu madas, hawa ni maafsa usalama na huteuliwa na wazri wa utumish wizara ya matc.
Maded ni watumish wa umma mchanganyiko hawa ndo mkdka wao upo mbion make kuna mtu wangu wa karb kwa wik mbili hz ameanza kuvaa visut uchwala na siku anapgiwa simu kuchotwa taarfa nilikuwa nae mzgon.
Mkuu ebu ACHA jamani yani ndo tunaanza tengeneza channel za pesaKama umepita basi ni kwa sababu ya mambo ya usiku usiku
Sio kweli!Sahau kuhusu madas, hawa ni maafsa usalama na huteuliwa na wazri wa utumish wizara ya matc.
Maded ni watumish wa umma mchanganyiko hawa ndo mkdka wao upo mbion make kuna mtu wangu wa karb kwa wik mbili hz ameanza kuvaa visut uchwala na siku anapgiwa simu kuchotwa taarfa nilikuwa nae mzgon.
Bia TamSio kweli!
Hahaha... Mkuu unasubiri kupewa majukumu?Kama umepita basi ni kwa sababu ya mambo ya usiku usiku