Mkeka wa DAS wa wilaya na wakurugenzi bado??

Mkeka wa DAS wa wilaya na wakurugenzi bado??

Mkeka wa MADAS ukitoka,nategemea kumuona Mtela Mwampamba kwa mara nyingine tena,arudi sehemu yake.
 
Hakuna mpango kama huo ndg,jibidishe kupiga majungu
Lazima mkeka uje,nimesikia kuna ombwe kubwa sana la ufanyaji kazi wa MADAS na wakuu wa wilaya,hasahasa kwenye wilaya alizotembelea na anazizidi kuzitembelea hivi sasa,hivyo mkeka unaandaliwa.
 
Sahau kuhusu madas, hawa ni maafsa usalama na huteuliwa na wazri wa utumish wizara ya matc.

Maded ni watumish wa umma mchanganyiko hawa ndo mkdka wao upo mbion make kuna mtu wangu wa karb kwa wik mbili hz ameanza kuvaa visut uchwala na siku anapgiwa simu kuchotwa taarfa nilikuwa nae mzgon.
 
Kipindi hiki Maafisa usalama uchwara wanaomba sana vijana CV na baada ya hapo wanaliwa kipapatio au pesa na Mkeka ukitoka zile namba zilizokuwa zinadanganya 'tusharekebisha we subiria Mkeka tu' hazipatikani tena


1) '…Mkuu nipigie kwa wasap call …si unajua Wazee kupindi hiki wana track sana namba zetu za simu kujua tunaongea na nani…' Vijana wa UV CCM na Bavicha punguzeni matamanio mtatapeliwa na kuharibiwa kama sio kuharibikiwa

2)…Mzee za siku nyingi …kidumu Chama cha Mapinduzi …usinisahau kwny maombi maana Jamaa washaniomba CV na nimewatumia …wamenambia nisikilizie …

vijana wanatapeliwa sana hadi huruma
 
Sahau kuhusu madas, hawa ni maafsa usalama na huteuliwa na wazri wa utumish wizara ya matc.

Maded ni watumish wa umma mchanganyiko hawa ndo mkdka wao upo mbion make kuna mtu wangu wa karb kwa wik mbili hz ameanza kuvaa visut uchwala na siku anapgiwa simu kuchotwa taarfa nilikuwa nae mzgon.
Matapeli wakikuomba rushwa usitoe
 
Sahau kuhusu madas, hawa ni maafsa usalama na huteuliwa na wazri wa utumish wizara ya matc.

Maded ni watumish wa umma mchanganyiko hawa ndo mkdka wao upo mbion make kuna mtu wangu wa karb kwa wik mbili hz ameanza kuvaa visut uchwala na siku anapgiwa simu kuchotwa taarfa nilikuwa nae mzgon.
Sio kweli!
 
Back
Top Bottom