Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Taarifa za Kiintelijensia kutoka chanzo cha kuaminika zinadokeza kwamba, kutangazwa leo Ma DC wapya lilikuwa jambo la Kimkakati ili kuwapoteza maboya watanzania na hasa wakazi wa DSM kuhusu Ujio wa Lissu.
Hata hivyo mkakati huo umefeli vibaya sana! Mtoa Taarifa anadai kwamba kufeli kwa njama hiyo ya kizamani kumetokana na timing, kwamba walipaswa kutangaza mkeka huo Usiku wa manane ili watu waamke nao, hata hivyo hakuwa na uhakika iwapo kuwahi kutangaza kama kungesaidia chochote, huku akidai kwamba HAKUNA DC YEYOTE MIONGONI MWA WALIOTEULIWA AU KUACHWA ALIYEFIKIA HATA ROBO YA UMAARUFU WA TUNDU LISSU, amesema kwamba jambo pekee ambalo lingeweza kutikisa ujio wa Lissu ni KUVUNJWA KWA BARAZA LA MAWAZIRI, kitu ambacho hakikufanyika.
Huu ni Ushahidi mwingine wa jinsi ya Utukufu wa Mungu unavyoweza kuzuia nguvu za Shetani.
Natoa wito kwa Wapanga njama hizi za mchongo angalau wawe wanatushirikisha sisi wajuzi wa mambo hayo, vinginevyo wataendelea kuangukia pua.
Hata hivyo mkakati huo umefeli vibaya sana! Mtoa Taarifa anadai kwamba kufeli kwa njama hiyo ya kizamani kumetokana na timing, kwamba walipaswa kutangaza mkeka huo Usiku wa manane ili watu waamke nao, hata hivyo hakuwa na uhakika iwapo kuwahi kutangaza kama kungesaidia chochote, huku akidai kwamba HAKUNA DC YEYOTE MIONGONI MWA WALIOTEULIWA AU KUACHWA ALIYEFIKIA HATA ROBO YA UMAARUFU WA TUNDU LISSU, amesema kwamba jambo pekee ambalo lingeweza kutikisa ujio wa Lissu ni KUVUNJWA KWA BARAZA LA MAWAZIRI, kitu ambacho hakikufanyika.
Huu ni Ushahidi mwingine wa jinsi ya Utukufu wa Mungu unavyoweza kuzuia nguvu za Shetani.
Natoa wito kwa Wapanga njama hizi za mchongo angalau wawe wanatushirikisha sisi wajuzi wa mambo hayo, vinginevyo wataendelea kuangukia pua.