Mkeka wa Makatibu Tawala hauwezi kufifisha Mjadala wa Sakata la kuuzwa kwa Bandari

Mkeka wa Makatibu Tawala hauwezi kufifisha Mjadala wa Sakata la kuuzwa kwa Bandari

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Niwakumbushe tu Washauri wa viongozi kwamba, kwa ukubwa wa tuhuma za kuuzwa kwa Bandari, si rahisi tena kuleta jambo la kufifisha mjadala huu.

Kwahiyo tunawaomba msipoteze muda wenu kujaribu ku divert mjadala huu, hakuna atakayeingia mkenge.

Watanzania siyo Wajinga sana.

FB_IMG_1686074170313.jpg
 
Middle class wa kitanzania kulalama humu kwenye soft landing, why mtoa hoja usifanye push back pekee ya kwenda pale state house na bango lako au bungeni? Acha kujionyesha shujaa hapa kwa kuwasemea watanzania wote, uoga ndio mtaji wa chama dola
 
Niwakumbushe tu Washauri wa viongozi kwamba, kwa ukubwa wa tuhuma za kuuzwa kwa Bandari, si rahisi tena kuleta jambo la kufifisha mjadala huu.

Kwahiyo tunawaomba msipoteze muda wenu kujaribu ku divert mjadala huu, hakuna atakayeingia mkenge.

Watanzania siyo Wajinga sana.

View attachment 2648813
Hangaya haupigi mwingi tena 😂😂😂😁
 
Middle class wa kitanzania kulalama humu kwenye soft landing, why mtoa hoja usifanye push back pekee ya kwenda pale state house na bango lako au bungeni? Acha kujionyesha shujaa hapa kwa kuwasemea watanzania wote, uoga ndio mtaji wa chama dola
Nyie watoto wa mafisadi mnategemea teuzi uchwara za DED sauti inapazwa kupitia platform yoyote usimpangie mleta mada
 
Nyie watoto wa mafisadi mnategemea teuzi uchwara za DED sauti inapazwa kupitia platform yoyote usimpangie mleta mada
Nyie watoto wa mafisadi mnategemea teuzi uchwara za DED sauti inapazwa kupitia platform yoyote usimpangie mleta mada
Lalama humu ,soon this one also will be a cold case, Senegalese wanapush back mitaani, +15 of them wamemwaga machozi ya damu, wewe endelea kulalama humu kwenye soft landing platform
 
Lalama humu ,soon this one also will be a cold case, Senegalese wanapush back mitaani, +15 of them wamemwaga machozi ya damu, wewe endelea kulalama humu kwenye soft landing platform
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom