Mkeka wa Mawaziri Mizigo na Waliofanya Vizuri Kwenye Cabinet ya Samia Mwaka 2023

Ninaheshimu maoni yako ila tafadhali ondoa jina la Mama Gwajima kwenye mawaziri mizigo. Huyu mama amekuwa akifuatilia hadi matukio madogo yanayotokea. Huwa ni mtu wa kujishusha.
Maoni yangu yaheshimiwe lakini.Tumuweke nani badala yake?
 
Ninaheshimu maoni yako ila tafadhali ondoa jina la Mama Gwajima kwenye mawaziri mizigo. Huyu mama amekuwa akifuatilia hadi matukio madogo yanayotokea. Huwa ni mtu wa kujishusha.
Kwa Gekul mbona sijamsikia??
 
Aweso yupo vizuri sana japo dkk za lala salama maji yalisumbua sana hapa mjini!


Ndumbaro sijui kwann umemweka kwenye mawaziri mzigo? Binafsi naona wizara imefanya vizuri kimichezo Tz tumefanya poa, mambo mengi yamefanyika na yanafanyika..... waziri sio mtu aggressive sana lkn wizara yake imefanya vzr
 
Leo Tangu nikujue Umeongea Point na Ukweli
 
Labda wap hawataki matokeo wanatala mtu anayeonekana kila mara..
Hawaoni wasanii wakiimba ujinga sajz ni tunachukua mapato tu
 
🤣 mwezi wa kwanza amenusurika hayupo kwenye kundi lolote
 
Ummy hataki tuwe na university teaching hospital nchini yeye Bado anamini Tina za kwenye dispensary ni mzigo apishe.
 
Achana na Kauli zake wewe pima matokeo ya kazi zake kwenye uchumi
Kazi gani? Kutuletea tozo zisizo na idadi huku maokoto kitaa yakotokomea kusikojilikana? Au kukopakopa asubuhi, mchana na usiku Kama dozi ya Panadol nao ni utendaji uliotukuka kwa kipimo chako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…