Mkenya abeba bendera ya Uturuki kwa furaha kabisa!

Mkenya abeba bendera ya Uturuki kwa furaha kabisa!

Hebu niwekee picha ya Mrisho Mpoto akiwa amebeba Bendera ya Kenya kwa furaha kabisa, sisemi kwamba na kuna tatizo lolote lile ila ningependa tu kuona hiyo picha!

Omba msamaha kutoka kwa wakenya kwa kuweka uongo na upumba, eti mkenya anapeprusha bendera geni.


Kama ni medali zinawawasha, pangeni kuwapa wakenya kadhaa uraia wa bongo, angalau maishani mwako uweze kushuhudia medali ya shaba. Wakimbiaji wengi Kenya, wamejaa kama nyanya mbofu sokoni.
 
Hivi wanalipwa sh ngapi ili kukimbia hawa wakenya nahitaji mmoja anisaidie ktk shughuli zangu za uwindaji.!!
 
Hivi wanalipwa sh ngapi ili kukimbia hawa wakenya nahitaji mmoja anisaidie ktk shughuli zangu za uwindaji.!!
Pesa za uwindaji hazitoshi kumplipa mwanariadha wa Kenya.Labda hela za petroli maanake waqatari na waarabu wengine wanawaahidi ksh50 million kwenda juu,kwa kila marathon!Hapo hujahesabu malipo ya ziada wanayolipwa kabla ya kuingia kwenye mkataba na wanapo kosa kukimbia kwasababu ya majeraha.
 
Pesa ndio kila kitu.
Team ya mpira ya Ufaransa ni waafrika tupu. Na timu ya Tanzania ya waogeleaji ni Weupe tupu.
Dunia inakuwa moja sasa.
 

Attachments

  • IMG-20160710-WA0004.jpg
    IMG-20160710-WA0004.jpg
    62.1 KB · Views: 40
julius yego alikua offered 10million dollars ili achezee nchi ya Qatar. tena hio 10m ilikua ni ya kuanzia, kila akicheza alikua atalipwa zengine.......... lakini alikataa kwasababu yeye ni mwanariadha alikua ameanza tu huku kenya ako na responsibility ya kukuza kipaa cha wakenya wengine na pia yeye ni symbol ya hope hapa kenya, kwamba tunaweza cheza michezo mingine pia

lakini ikija mambo ya mbio, wanariadha kenya ni wengi, utakuta wengi wamefuzu kulingana na time ya kimataifa, lakini bado hawaruhusiwi na nchi kuenda kukimbia sababu walio fuzu ni wengi na nchi moja inaruhusiwa kutuma wanaridha kadhaa tu, kwahivyo lazma kuna nchi zengine zitasaka wale walio kataliwa huku kenya ili wakimbilie hizo nchi ambazo hazina hata mmoja aliefuzu
 
but they are Kenyans.... have families back home ....who has visited iten lately??? mansions and mansions from start to finish.... new training tracks clubs high end hotels all this because of athletes.... wachekeni lkini familia zao zinaishi vyema..... besides most of them are police officers
 
Bongo tupo hovyo kwenye sports serikali imelala bado, wamburu na wairaki wanaweza hii long race, genetically wametokea highlands ethiopia. Mf filbert bayi si ndio mbongo pekee aloshinda hizi race. Nilisoma gova imeanza kuwekeza huko. Hopefully
 
Naona Barbosa amewavalia njuga, tukutane usiku huu saa 7:30 Al Jazeera kushuhudia mahojiano ya moja kwa moja ya kupata katibu mkuu wa UN. Inaweza kuwa rais mstaafu wa Kenya au Tanzania, huwezi fahamu..
Siasa za UN na riadha, wapi na wapi.
 
Bongo tupo hovyo kwenye sports serikali imelala bado, wamburu na wairaki wanaweza hii long race, genetically wametokea highlands ethiopia. Mf filbert bayi si ndio mbongo pekee aloshinda hizi race. Nilisoma gova imeanza kuwekeza huko. Hopefully
Ndo nchi yetu hiyo.....
Tanzania ni nchi ya watu wenye vipaji vikubwa sana ila hawapewi support yaani unakuta MTU anaenda kwenye mashindano huku akisindikizwa na familia yake tu ila ngoja ashinde......

HAPO ndo utauona unafki wa viongozi wetu ....Mara wakaribishwe bungeni ama airport kwa mbwembwe lakini baada ya hapo husikii juhudi za kuwainua wengineo
 
Back
Top Bottom