Mkenya aikimbia karantini na kwenda kufia Tanzania alikokamatwa na kutiwa jela akiwa anaumwa Corona

serikali ichukue hatua gani!!!!utakuta unawaza lockdown hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo lock down imejaa kwenye vichwa vyenu nyie mataga.

Hatua za kuchukua ni serikali kuwa na uwazi kwenye kutangaza idadi ya maambukizi na vifo vilivyotokana na korona.
Pia serikali itupe mikakati dhabiti inayochukua kupambana na korona tofauti na kujifukiza ambayo tumeelekezwa juzi.
Pia viongozi wa serikali wajiepushe na kauli zilizobase kwenye conspiracy theories za mitandaoni sijui mask za misaada zina korona mara ohh upulizaji wa dawa mitaani ndiyo unaongeza maambukizi ya korona nk.

Serikali iwe profession na sio kutumia hisia ku-adress hili janga.
 
That means in Kunyaland things r hell for someone so informed like Tawfiq owner to dare to cross a border to Tanzania during Covid19 pandemic!
In kenya he was under quarantine in tz he was put in prison then akawachiliwa, see your reasoning, anyway nyinyi chukulieni hii ugonjwa mzaha and watch all you've invested in your tourism sector in all this years go down the drain

Sent using Jamii Forums mobile app
 
That means that we don't entertain nonesense this side. One has to follow the rules and regulations as per the law irrespective of class or status!.
That means in Kunyaland things r hell for someone so informed like Tawfiq owner to dare to cross a border to Tanzania during Covid19 pandemic!
 
kwanini unadhani serikali haitoi takwimu sahihi!!!

inaogopa ufipa mtaanza kulia??
inaogopa karatasi za kuandikia zitaisha??
inaogopa corona itaongeza kasi??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…