Sinister
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 1,531
- 1,577
mwezi wa tatu huu tokea mgonjwa wa kwanza agundulike.
mnasema tusubiri watu waaanze kupukutika,wenzetu mbona ni kama wanga !!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwezi wa tatu huu tokea mgonjwa wa kwanza agundulike.
mnasema tusubiri watu waaanze kupukutika,wenzetu mbona ni kama wanga !!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilaza sana wewe...wewe si umesema huyo alidondoka na corona ndo nakuuliza ulimpima? Au nipe majibu yake.Hebu kimbia haraka sana ukaipime ile maiti iliyookotwa Lumumba alafu ulete mrejesho.
Endeleza ushabiki mandazi ila soon utabaki kimya kama umepigwa ganzi.Mbona watu wamekuwa wakianguka na kufa kabla hata ya Corona? Au sababu ya hii hype ya Corona kila kifo kikitokea basi wewe unaona ni Corona? Stroke, Asthma, Malaria, Cancer vyote vimeacha kuua sasa, Tumia akili mzee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mitanzania bana, Mange kimambi anaweka mpaka proof how guys are dying and sick , you guys will become the next Ecuador if care is not taken, tafadhalini take this thing seriously,despite hii back and forth ya hapa jamii forums na our love-hate relationship we want you alive and well, we cant compete with dead people.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani vifo ni ngapi kenya!!!Mitanzania bana, Mange kimambi anaweka mpaka proof how guys are dying and sick , you guys will become the next Ecuador if care is not taken, tafadhalini take this thing seriously,despite hii back and forth ya hapa jamii forums na our love-hate relationship we want you alive and well, we cant compete with dead people.
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi ndio kupukutika[emoji16][emoji16][emoji16].
nilidhani ni 400 zimeokotwa dar,hujawahi kukuta maiti dar barabarani,au wewe unaishi mbwinde huko.Maiti ya pili imeokotwa Dar,
endelea kuishi kwa akili za kushikiwa ila soon utanyooka kama rula.
Unasubiri maiti 400 ziokotwe mitaani ndiyo akili yako iwe timamu?nilidhani ni 400 zimeokotwa dar,hujawahi kukuta maiti dar barabarani,au wewe unaishi mbwinde huko.
dar mpaka maiti za kwenye viroba zinapatikana huku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiswahili chako ni kibovuIts very clear Tanzania are hiding Data. Sio swali an maambukizi na vifo vipo vingi sanaI
"Heresay" According to family sources, the deceased had been quarantined in a Mombasa hospital after developing Corona virus related symptoms.Jameni Watanzania acheni kuonyesha taswira kwamba kwenu ndio afueni kwa sasa, kwamba baada ya karipio kwenye hotuba ya rais hamna maambukizi tena, maana inasababisha watu wadhani kwamba huko ndio nafuu, na mkiendelea hivi tutakimbilia kuja huko tena kwa maelfu kama mazombi vile......hehehe
Sasa huyu Mkenya alikimbilia Tanzania, akakamatwa huko na badala ya kupelekwa karantini akaswekwa ndani ya jela siku mbili.
Baadaye akaachiwa kisha akazidiwa na kwenda hospitali ya Tanga, kule alikuta hospitali nayo imelemewa maana maambukizi ni mengi. Hatimaye akafariki.
Sasa hapo polisi wote waliohusiana naye, ndugu zao, na hata polisi waliohusiana na hao polisi kituoni, na kila yeyote kwa namna moja au nyingine alihusiana naye au na hao, wote watiwe karantini.
Hii inafaa iwe funzo hata kwa walinda mipaka upande wa Kenya, mnapoachia watu wanapita, mjue na nyie itawakula tu.
========================================
One of the sons of the Tawfiq Trucking and Bus Empire has succumbed to Corona Virus in Tanzania. The Mombasa based transport company is one of the oldest and most successful transport companies in Kenya. Tawfiq has morphed over the years to become Simba Coach which still dominates routes in East Africa.
According to family sources, the deceased had been quarantined in a Mombasa hospital after developing Corona virus related symptoms.
He however managed to escape from the facility and escaped to Tanzania via the Lunga Lunga border. Unfortunately for him he was detained for two days by Tanzanian authorities. Sources say his condition detoriated when in the Tanzanian cells before being released.
![]()
Mombasa Billionaire Who Escaped Quarantine Dies From Covid-19 in Tanzania
Tunasisitizwa kujikinga dhidi ya maambukizi na kusambaa COVID-19, kwa kaulimbiu ya JILINDE UMLINDE [emoji671] RANIMkiendelea kutuaminisha kwamba corona inapona kwa mikwara na makaripio tutakuja sana.
Na wewe usiwe kasuku kurudia rudia unayosikia. Tupe mrejeshonyuma kama nyumbani kwako, majirani au mtaani unakoishi wangapi wameambukizwa au kupoteza maisha, kabla ya kudai taarifa ya wagonjwa/vifo vilivyotokea mbali na makazi/ofisi yako.Its very clear Tanzania are hiding Data. Sio swali an maambukizi na vifo vipo vingi sanaI
nakushangaa wewe unayesononeka kuona moja.ni kama ulitamani usikie 16 wameanguka asubuhi hii kariakoo.Unasubiri maiti 400 ziokotwe mitaani ndiyo akili yako iwe timamu?
tunapiga kelele serikali ichukue hatua ili vifo vya namna hii visiongezeke nyie mataga mnazungusha viuno kushabikia upuuzi.nakushangaa wewe unayesononeka kuona moja.ni kama ulitamani usikie 16 wameanguka asubuhi hii kariakoo.
Sent using Jamii Forums mobile app
serikali ichukue hatua gani!!!!utakuta unawaza lockdown hapo.tunapiga kelele serikali ichukue hatua ili vifo vya namna hii visiongezeke nyie mataga mnazungusha viuno kushabikia upuuzi.