Hamna video ya hiyo interview naona kuna ka harufu ka upotoshaji
Hebu nioneshe tafadhali, hapo niliposema kwamba wamuulize jina lake. Ndio maana huwa nina mashaka sana na uelewa wako.Kilichonikera ni wewe ulipoanza kukosoa jinsi askari walivyompiga katika harakati za kutaka kujua jina la kweli, hivi unadhani mualifu hasa gaidi atataja jina lake halisi, au kutoa taarifa muhimu kwa kumuuliza pekee?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitakutafutia imetolewa na gazeti flani. Ipo online.Leta ushahidi tafadhali, kama taarifa ya huyo eyewitness.
Wewe kama sio kichaa basi njaa inakusumbua, wewe hukulaumu POLISI kumzaba makofi huyo jamaa wakimtaka ataje jina la kweli, POLISI walihisi yeye ni Jamal, sasa ulitaka alipoulizwa na kutaja hilo jina lake, POLISI waamini tu moja kwa moja bila kumtia kashkash wakati POLISI walipata taarifa huenda ni Jamal?Hebu nioneshe tafadhali, hapo niliposema kwamba wamuulize jina lake. Ndio maana huwa nina mashaka sana na uelewa wako.
kwa nini akamatwe yeye tuu!!!?? ni wakenya wangapi wanapita hiyo boda?? saa nyingine sisi raia hatujui mambo ya ndani ya kiusalama!!! tunawachukulia ni majirani zetu, waumini wenzetu, na ndugu zetu labda vikosi vyenu vya usalama vinajua zaidi lakini kwa sababu raia wameingilia kati kichwa kichwa>>>>>>>>
Utawasifia tu, hadi watakampoteza dadako au kakako. Mziki wa nguvu ya umma uliwatia hofu, hao wasiojulikana, hadi wakamrejesha Mohaa Namanga wao wenyewe. Natumai mmejifunza kitu hapo, wakenya huwa hawana mazoea yakulilia serikali yao kwa jambo ambalo wanaweza wakalifanya wao wenyewe.
hakuna kitu jamaa wangeamua kumpoteza,wangempoteza tu huo umma usingefanya lolote
hadi wamemuacha,ujue washamalizana nae,kama ilivyokuwa kwa mo na r.o.m.a
hapo ndipo umeongea points..hakuna chombo Cha usalama kinachoweza kuvuka MIPAKA pasipo mawasiliano...Soma taarifa vizuri, yeye hakupita border, kafuatwa ndani ya nchi yake na hao watu wenu wa noah nyeupe, japo nimeanza kuhisi hapa kuna mchezo utakua unachezwa kwa ushirikiano wa wana usalama wa Kenya na wa Tanzania. Iwe wa Kenya waliomba hao wenu waje wafanye maana makelele hayatakua na uzito kama wakifanya hawa wa Kenya, hili nimehisi baada ya tamko la DCI wetu kuongelea hii issue kizembe sana.
Haya mambo ya kumkamata mtu na kumbambikizia ugaidi ni jambo mbaya sana maana ndio huzaa ugaidi wenyewe.
Rogo alivyouwawa roho iliniuma saana ila nilivyojua uhalisia wake.....pongezi za dhati ziende kwa MOSSADMbona kusiwe na ushirikiano kati ya Kenya na Tz kwenye masuala ya usalama sanasana kuhusu ugaidi? Maanake hata vijana watz huwa wanavuka boda pia, wakisafiri kuenda Somalia kujiunga na Alshabaab. Kitengo cha ATPU(Anti-Terrorism Police Unit) huwa kipo makini sana kwenye masuala ya ugaidi. ATPU ndio waliwatanguliza mbele ya haki wale wahubiri magaidi kina Aboud Rogo na Makaburi. Najua kwa uhakika kwamba pale Namanga Border wana operatives wao. Ila kuna yale ambayo hayasemwi kwasababu hawa wasiojulikana ni outfit ya kisiasa tu.
We Ni mpuuzKama unajua jirani wako hapendi ujinga, usimdhubutu na mambo ya kishenzi..Utachapwa tu uje kulialia humu