Mkenya aliyetekwa na wasiojulikana wa kutokea Tanzania arejeshwa, aeleza alivyozushiwa ugaidi

Mkenya aliyetekwa na wasiojulikana wa kutokea Tanzania arejeshwa, aeleza alivyozushiwa ugaidi

Hamna video ya hiyo interview naona kuna ka harufu ka upotoshaji


Video hizi mbili tofauti zilizochukuliwa miezi tofauti mwaka huu 2019 za Mzee Yasin Jama katika matukio ya Nairobi na Namanga zinafikirisha sana:

16 Jan 2019: Father recounts harrowing moment son called during Dusit terrorist attack



29 Mar 2019 :Aliyekamatwa na polisi wa Tanzania Mohammed Al Bashir arejea nyumbani

 
Kilichonikera ni wewe ulipoanza kukosoa jinsi askari walivyompiga katika harakati za kutaka kujua jina la kweli, hivi unadhani mualifu hasa gaidi atataja jina lake halisi, au kutoa taarifa muhimu kwa kumuuliza pekee?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu nioneshe tafadhali, hapo niliposema kwamba wamuulize jina lake. Ndio maana huwa nina mashaka sana na uelewa wako.
 
Hebu nioneshe tafadhali, hapo niliposema kwamba wamuulize jina lake. Ndio maana huwa nina mashaka sana na uelewa wako.
Wewe kama sio kichaa basi njaa inakusumbua, wewe hukulaumu POLISI kumzaba makofi huyo jamaa wakimtaka ataje jina la kweli, POLISI walihisi yeye ni Jamal, sasa ulitaka alipoulizwa na kutaja hilo jina lake, POLISI waamini tu moja kwa moja bila kumtia kashkash wakati POLISI walipata taarifa huenda ni Jamal?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa nini akamatwe yeye tuu!!!?? ni wakenya wangapi wanapita hiyo boda?? saa nyingine sisi raia hatujui mambo ya ndani ya kiusalama!!! tunawachukulia ni majirani zetu, waumini wenzetu, na ndugu zetu labda vikosi vyenu vya usalama vinajua zaidi lakini kwa sababu raia wameingilia kati kichwa kichwa>>>>>>>>

ww umesema kitu sensitive ,.. na niongezee tu hapo ya kuwa huenda ata vikosi vya ulinzi vya kenya wapo nyuma ya hili zoezi kwann mamlaka za kiusalama kenya zilikaa kimya alafu later on ndio wakasema amesharejeshwa ? nafikiri ilikuwa ni joint mission au interpol (interpol sio lazima wawe wazungu ata polisi wetu wa nchini zetu ni sehemu ya interpol) all in all he is safe haya mambo ya kushukiwa hutokea nchi zozote hata US kuna mtu alifungwa jela miaka 30 lbaadae ndio ikajulikana kwamba jamaa alikuwa innocent...ata pale westgate attack wale RECC wali mpiga risasi jamaa wakimshuku ni mmoja wa magaidi kumbe hakuwa gaidi.
 
Utawasifia tu, hadi watakampoteza dadako au kakako. Mziki wa nguvu ya umma uliwatia hofu, hao wasiojulikana, hadi wakamrejesha Mohaa Namanga wao wenyewe. Natumai mmejifunza kitu hapo, wakenya huwa hawana mazoea yakulilia serikali yao kwa jambo ambalo wanaweza wakalifanya wao wenyewe.

hakuna kitu jamaa wangeamua kumpoteza,wangempoteza tu huo umma usingefanya lolote
hadi wamemuacha,ujue washamalizana nae,kama ilivyokuwa kwa mo na r.o.m.a
 
  • Thanks
Reactions: Oii
hakuna kitu jamaa wangeamua kumpoteza,wangempoteza tu huo umma usingefanya lolote
hadi wamemuacha,ujue washamalizana nae,kama ilivyokuwa kwa mo na r.o.m.a

Ni kweli huyu Mohamed Bashir a.k.a Jamal itakuwa DNA , finger prints zimechukuliwa kisha kuingizwa ktk database / hata pengine payroll ya informers, onyo na ujumbe umefikishwa kuwa washukiwa wanaojihusisha na masuala ya ufadhili, kushiriki, kushirikiana, kupanga, kutoripoti au kuwaza vitendo viovu hawapo salama popote walipo.

Ukiangalia video aliporejea Namanga Kajiado Kenya unamuona jamaa uso na body language yake vinasema mengi pamoja na kuzungukwa na ndugu wenye furaha kumuona ameachiliwa.
 
Soma taarifa vizuri, yeye hakupita border, kafuatwa ndani ya nchi yake na hao watu wenu wa noah nyeupe, japo nimeanza kuhisi hapa kuna mchezo utakua unachezwa kwa ushirikiano wa wana usalama wa Kenya na wa Tanzania. Iwe wa Kenya waliomba hao wenu waje wafanye maana makelele hayatakua na uzito kama wakifanya hawa wa Kenya, hili nimehisi baada ya tamko la DCI wetu kuongelea hii issue kizembe sana.

Haya mambo ya kumkamata mtu na kumbambikizia ugaidi ni jambo mbaya sana maana ndio huzaa ugaidi wenyewe.
hapo ndipo umeongea points..hakuna chombo Cha usalama kinachoweza kuvuka MIPAKA pasipo mawasiliano...

TISS na TAASISI ya Usalama wa Kenya Ina ushirika wa karibu mnoo.

huyo bwana inaonesha TISS ya Kenya na ya Tz ilipanga huo mchezo na kusuka njama kwa huyo mtu.

lakini lisemwalo lipo ndugu ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona kusiwe na ushirikiano kati ya Kenya na Tz kwenye masuala ya usalama sanasana kuhusu ugaidi? Maanake hata vijana watz huwa wanavuka boda pia, wakisafiri kuenda Somalia kujiunga na Alshabaab. Kitengo cha ATPU(Anti-Terrorism Police Unit) huwa kipo makini sana kwenye masuala ya ugaidi. ATPU ndio waliwatanguliza mbele ya haki wale wahubiri magaidi kina Aboud Rogo na Makaburi. Najua kwa uhakika kwamba pale Namanga Border wana operatives wao. Ila kuna yale ambayo hayasemwi kwasababu hawa wasiojulikana ni outfit ya kisiasa tu.
Rogo alivyouwawa roho iliniuma saana ila nilivyojua uhalisia wake.....pongezi za dhati ziende kwa MOSSAD

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Nakumbuka Kenyans mlivyokua mnalilia eti Magufuli aje aongoze hata mwezi mmoja akomeshe ufisadi... sasa huku Hataki hata kukaguliwa ndo angewafilisi mpaka Lolo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom