Mkenya amaliza ubishi kati ya Kenya vs Tanzania

Tena tafadhali walete video kama hiyo [emoji23][emoji23][emoji23] Hatutaki picha za kuunga unga
 

Huyu dada dont know shyt!

Greetings from this shithole country TZ!
 
Wacha upotovu wewe , umeziona barabara mbovu za Dar es Salaam ? Pale hakupitiki ukianza kuingia Tandale ,Kurasini na Kijitonyama? Dar CBD too has worn out roads na uchafu.
Mara ya mwisho kuja Dar ni lini ndugu yangu??????????????
 
Toka kahama kwenda burundi au rwanda ndiyo utajua ubovu wa barabara za tanzania.Toka tabora mpaka mpanda utajuta kuzaliwa
 
Toka kahama kwenda burundi au rwanda ndiyo utajua ubovu wa barabara za tanzania.Toka tabora mpaka mpanda utajuta kuzaliwa
Kua specific, eti toka kahama kwenda Burundi ina maana toka kahama mpaka Kabingo hakuna lami? Hilo eneo unalolisema tayari pesa imepatikana na ujenzi unaanza time yoyote

 
Halafu kitu kingine ambacho wakenya hawajui ni kuwa, katika ukanda huu, Watanzania ndiyo husafiri zaidi kuliko nchi nyingine yoyote hapa Afrika Mashariki. Pia kiwango kikubwa cha usafiri wa umma, yaani mabasi ya kwenda mikoani ni mazuri sana, na ya kisasa.
 
Wapo wengi tu Kenya wanatumia usafiri wa barabara za Tanzania na hawajutii kutumia barabara nzuri za Tanzania

The 'Daring' Nairobi- Tanzania Zambia Gaborone Road Trip with Kenyan Transporter, Joel Wachira

 
Mwingine toka Kenya anayefaidi usafiri wa barabara nzuri za Tanzania na kuapa hatotumia usafiri wa anga kutokana na miundo mbinu mizuri

Daring abroad : Wilbur Mutiva, a Kenyan businessman who drives from Lubumbashi city in DR Congo, Tanzania to Kenya

 
Toka kahama kwenda burundi au rwanda ndiyo utajua ubovu wa barabara za tanzania.Toka tabora mpaka mpanda utajuta kuzaliwa
Kahama hadi Rwanda ni mkeka tu boss, hujui usemalo ww.
 
Bara bara ya Kutoka Namanga kuja Nairobi ilikamilika 2013, wakati bara bara iliojengwa upya ya kutoka Namanga kwenda Arusha ilikamilika 2017...

Kama angesafiri na kupitia border ya Tavetaangekua na maoni tofauti manake bara bara ya Taveta hadi voi ni mpya upande wa Kenya ilihali upande wa Tanzania bado haijakamilika hadi hapo holili kwahivyo upande wa Tz bado bara bara ya kitambo.


Ni kama vile muEthiopia asafiri kutoka Addis hadi Nairobi, atabaki akisifia Kenya kwa kua na bara bara nzuri, hatakua anajua bara bara ya upande wa Kenya ilimalizwa juzi juzi wakati ya Ethioipia ni ya kitambo, kama angefanya hio trip miaka michache iliopita, ya Ethiopia ndo ingekua nzuri kuliko ya Kenya..

Nairobi to Moyale border 800km


Upande wa Kenya VS upande wa Ethiopia hapo Kenya-Ethiopia Border, Hata unaona Upande wa Kenya huko kwenye hilo jengo bado bara bara nyeusi haijashika vumbi



Bara bara yenyewe





Lapsset team






 
Na LAPPSET huwa inakuumiza kichwa joto la jiwe
Two routes in the Trans-African Highway network pass through Kenya and the capital, Nairobi:

The Cairo-Cape Town Highway, Trans-African Highway 4, linking North Africa, East Africa and Southern Africa. From Nairobi southwards this is one of the most heavily used routes in the network, and includes one of the longest complete paved sections. However, it still has missing links to the north and it is not practical to travel to Cairo without off-road vehicles. This part will be completed as part of the LAPSSET project.
The Lagos-Mombasa Highway, Trans-African Highway 8, links East Africa and West Africa. It is only complete between the Ugandan–DR Congo border and Mombasa, linking the African Great Lakes region to the sea. It is also named the 'Trans-African Highway'.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…