Itakua umepita mwaka 2000 nn.. Tandale yote n lami, kijitonyama uzungun, hakuna mtaa hauna lamiWacha upotovu wewe , umeziona barabara mbovu za Dar es Salaam ? Pale hakupitiki ukianza kuingia Tandale ,Kurasini na Kijitonyama? Dar CBD too has worn out roads na uchafu.
embu na ww MK254 tuonyeshe barabara toka eldoret kwenda northern counties ...hapo ndio tutakuamini...maana huyu dada hapo youtuber mwenyewe amekuthibitishia tokea ameingia namanga all the way to southern highland of our beautiful country mtoto katembea juu ya tarmac road with a full of road sign board ..
Itakua umepita mwaka 2000 nn.. Tandale yote n lami, kijitonyama uzungun, hakuna mtaa hauna lami
Majirani wetu wa Kenya, ni matumaini yangu kwamba huyu Dada amemaliza ubishi kati yetu, Yale yote aliyoyaandika yule mwanahabari wa Kenya aliyetembelea Tanzania, huyu Dada ameyathibitisha.
Mliokua mnasema kwamba aliongeza sifa nyingi, wengine wakasema sio mkenya ni mtanzania, vipi kuhusu huyu dada?. Kuhusu barabara kati ya Kenya na Tanzania, mshindi amepatikana "By unanimous decision".
Mara ya mwisho kuja Dar ni lini ndugu yangu??????????????Wacha upotovu wewe , umeziona barabara mbovu za Dar es Salaam ? Pale hakupitiki ukianza kuingia Tandale ,Kurasini na Kijitonyama? Dar CBD too has worn out roads na uchafu.
Huyu dada dont know shyt!
Greetings from this shithole country TZ!
Chuki zako na serikali umekuja [emoji23][emoji23][emoji23]
Toka kahama kwenda burundi au rwanda ndiyo utajua ubovu wa barabara za tanzania.Toka tabora mpaka mpanda utajuta kuzaliwaHuyu Dada ametumia barabara tofauti na yule mkenya aliyetembelea rafiki yake Dar. Huyu dada alipofika Arusha, alielekea kulia ili apitie "Central" Tanzania- Babati, Singida, Dodoma, Iringa, Mbeya, hizo ni zaidi ya 1800Km, hajakutana na vumbi wa shimo barabarani.
Yule mkenya mwengine alipitia "Eastern" Tanzania,- Arusha, Moshi, Segera, Chalinze, hadi Dar. Aliporudi alipitia, Bagamoyo, Msata, Segera, Tanga, Horohoro, 1500km bila kugusa vumbi wala shimo lolote.
Kwa ujumla hawa wakenya wawili wametembea jumla ya 2300Km za lami bila kuona shimo hata moja. Hapo ni kama 10% ya barabara za lami Tanzania.
Kwani siruhusiwi kuichukia serikali?
Wewe unaipenda mimi siipendi,sasa sijui unataka nini hasa?
Kua specific, eti toka kahama kwenda Burundi ina maana toka kahama mpaka Kabingo hakuna lami? Hilo eneo unalolisema tayari pesa imepatikana na ujenzi unaanza time yoyoteToka kahama kwenda burundi au rwanda ndiyo utajua ubovu wa barabara za tanzania.Toka tabora mpaka mpanda utajuta kuzaliwa
Huyu dada dont know shyt!
Greetings from this shithole country TZ!
Kahama hadi Rwanda ni mkeka tu boss, hujui usemalo ww.Toka kahama kwenda burundi au rwanda ndiyo utajua ubovu wa barabara za tanzania.Toka tabora mpaka mpanda utajuta kuzaliwa