Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnajituma kufanya nini?Chezea WaKenya bana.
Si tunajua kujituma bana.Kenya to the world[emoji1139][emoji1139]
moja, mbili, tatu watanganyika twendee.
1.Jamaa kwao kuna njaa kali
2. Kuna corona
3. hawana vivutio kama sisi
,,😂😂😂😂
Hate or get inspired my fellow Tanzanians
Kununua banks za Tanzania.Mnajituma kufanya nini?
Wewe ndiyo umenunua?Kununua banks za Tanzania.
Na tatazidi kupaa. Kenya to the world 🇰🇪🇰🇪Mnajituma kufanya nini?
Hatujisifu. Hii ni habari inayohusu Kenya ndio maana nimeiposti hapa Kenya section. Kama hupendi habari za Kenya basi nenda Mapenzi section.hili ni jambo la msingi na la kibinaadamu.
hofu yangu ni kwamba nyinyi mmechukulia kama ni sehemu ya kujisifu,wakati jamaa kaamua kusaidia watu kupitia biashara.
Mambo ya kawaida sanaNa tatazidi kupaa.Kenya to the world [emoji1139][emoji1139]
Swali gani bro???Ile swali yangu hukunijibu
Hatujisifu. Hii ni habari inayohusu Kenya ndio maana nimeiposti hapa Kenya section. Kama hupendi habari za Kenya basi nenda Mapenzi section.
Unachukia Wakenya kiasi kwamba Mkenya akifanya mazuri hutaki asifiwe. Wacha hizo roho mbaya. Eti habari hii haihusu Kenya? Kama sio huyo Mkenya basi hizo hospitali hazingejengwa.at all hii si habari inayohusu kenya,ni habari inayohusu DRC.
halafu sikukwambia nimekasirika,labda wewe ndio umachukia.