mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Unachukia Wakenya kiasi kwamba Mkenya akifanya mazuri hutaki asifiwe. Wacha hizo roho mbaya. Eti habari hii haihusu Kenya? Kama sio huyo Mkenya basi hizo hospitali hazingejengwa.
angalia hapa napo unaacha akili yako chini.
mkenya amejenga kama hisani au ni biashara anafanya!!!