mkorinto JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 31,415 Reaction score 38,761 Nov 29, 2020 #21 Tony254 said: Unachukia Wakenya kiasi kwamba Mkenya akifanya mazuri hutaki asifiwe. Wacha hizo roho mbaya. Eti habari hii haihusu Kenya? Kama sio huyo Mkenya basi hizo hospitali hazingejengwa. Click to expand... angalia hapa napo unaacha akili yako chini. mkenya amejenga kama hisani au ni biashara anafanya!!!
Tony254 said: Unachukia Wakenya kiasi kwamba Mkenya akifanya mazuri hutaki asifiwe. Wacha hizo roho mbaya. Eti habari hii haihusu Kenya? Kama sio huyo Mkenya basi hizo hospitali hazingejengwa. Click to expand... angalia hapa napo unaacha akili yako chini. mkenya amejenga kama hisani au ni biashara anafanya!!!
waltham JF-Expert Member Joined Jan 23, 2014 Posts 2,522 Reaction score 1,045 Nov 30, 2020 #22 eliakeem said: Wewe ndiyo umenunua? Unaongea Ongea tu vitu visivyo kuhusu. ππππ Click to expand... Yes amenunua yeye. Anamiliki sehemu ya kampuni ya kcb na equity kupitia shares zakeπ³.
eliakeem said: Wewe ndiyo umenunua? Unaongea Ongea tu vitu visivyo kuhusu. ππππ Click to expand... Yes amenunua yeye. Anamiliki sehemu ya kampuni ya kcb na equity kupitia shares zakeπ³.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Nov 30, 2020 #23 Inapendeza, amechangamkia fursa... Hata kuna waTanzania wana mahospitali Quba... Cc: mahondaw
run CMD JF-Expert Member Joined May 31, 2015 Posts 3,185 Reaction score 3,909 Jan 9, 2021 #24 MK254 said: Safi sana, halafu hiyo DRC tukiivizia vizuri ina fursa nyingi san Click to expand... mkuu hebu nisaidie fursa zipoje upande wa IT nataka nikapambane uko?
MK254 said: Safi sana, halafu hiyo DRC tukiivizia vizuri ina fursa nyingi san Click to expand... mkuu hebu nisaidie fursa zipoje upande wa IT nataka nikapambane uko?
MK254 JF-Expert Member Joined May 11, 2013 Posts 32,408 Reaction score 50,809 Jan 9, 2021 #25 tupo doria said: mkuu hebu nisaidie fursa zipoje upande wa IT nataka nikapambane uko? Click to expand... Fursa za IT huwa kote duniani, inategemea na namna ulivyojichimbia kwenye maujuzi.
tupo doria said: mkuu hebu nisaidie fursa zipoje upande wa IT nataka nikapambane uko? Click to expand... Fursa za IT huwa kote duniani, inategemea na namna ulivyojichimbia kwenye maujuzi.