Tyrone mofekeng
JF-Expert Member
- Mar 19, 2017
- 694
- 610
Kwani nyinyi sio mafarasi?Usiwe na hasira, ni mibezo za kindugu ndudgu tu hapo
Btw, hii ni maraangu ya kwanza kabisa kuskia ati mtanzania amefanya vyema hivo kwenye mashindano hayo. Mbona kila mara huwa mnarudi mikono mitupu?
Hongereni kwa,ushindi huu wa kihistoria, na muendelee kujikweza hivo hivo.
Na wakati mtakapofika mahali tulipo kwa sasa, sisi pengine tutakuwa tunafanya mashindano na mafarasi.
Sent using Jamii Forums mobile app