Mkenya ashinda UAE Formula Gulf Championship

Najua hamtokawia kuja na zile zenu oooh mbona sio ngozi nyeusi, ooooh Kenya ilijengwa na wazungu oooh hili oooh lile.
Mtakoma tu, na iwaingie akilini kwamba jamii zote hizi katika nchi zetu ni za kukuja. hivyo hamna mtu ambaye ni asili yake.
 
"Kenya's Lewis Hamilton": Nairobi-born Teenager is Making His Country Proud

A Nairobi-born teenager had his dream come true last week when our government announced that it will fully endorse him as a motorsport driver representing the Motherland.

Tejas Hirani, 16, who is the proud winner of 49 motorsport titles, received the news in the form of a personal letter addressed to him from Cabinet Secretary Phyllis J. Kandie on Sept. 3.

"I have been following with great interest the developing career of Tejas as a young and extremely promising Kenyan in the world of motorsports," Kandie said of Tejas, who became the first Kenyan ever to win an international motorsports championship in 2014. "His exploits and success…begs for the support from all Kenyans as we seek to see him carry our flag high."



Hirani at the Dubai Autodrome after winning the 2014 FG1000 Formula Gulf

Hirani, who is nicknamed "Kenya's Lewis Hamilton" after the current Formula One World Champion, took to Facebook upon receiving the letter, jubilantly expressing his joy about the outcome of the decision.

"I am stunned. WAAAA!! The generosity of some people," he posted on Sept. 8.
"My flag will fly high," he captioned a photo he posted of the Kenyan flag the same day.

Hirani, who dreams of becoming Kenya's first Formula One driver, will be racing in the World Series RX Lites in Spain on Sept. 18. With the support of his government, he has a good chance at reaching the podium.

"Kenya's Lewis Hamilton": Nairobi-born Teenager is Making His Country Proud | KenyanVibe

 
Jeremy wahome katika formula 1 racing, kenya

After a great weekend in Malaysia I will now be heading to Nakuru, Kenya to kick off the last half of the championship! Looking forward to rounds 6&7 this Saturday and Sunday respectively.












and this sweetheart in Golf





Hello friends. I played really good golf the entire 3 days of competitions despite not getting the results I wanted. I scored 42 the first day, 46 and 44 final round to finish tied-40. I'm incredibly happy to have shared the stage with other so many talented young golfers from around the world and had so much fun representing our country out here in America. Thanks to Kenyans from Boston and North Carolina who came out to see me play the final day and a big THANK YOU to you my friends back in Nairobi for your support.‪#‎TeamChanny‬‪#‎GirlsWhoGolf‬‪#‎JuniorWorldChampionshipUSA‬‪#‎Pinehurst‬‪#‎TeamKenya‬









with my sweet bro-manager....Dylan
 
Yaani Kenya a hot bed of talents...
 
The montage of good news on all fronts keeps giving.Kenyanscome in all stripes…and this has left our HATERZ jumbled up…These 16 yr oldkids doing us proud and kudos to this adorable young golfer..she is goingplaces

 
Wacha tushangilie kwa raha zetu. Ikija kwa michezo(except for foootball) wakenya hua tunawakilisha vizuri, kutoka rugby,volleyball,mbio,badminton, TT, swimming, sniping,boxing...

Wakati Juilius Yego alinza kurusha mkuki, alienda kushindana europ kwa championship ndogo ndogo (yaani kama vile formula 4), hata si watu wengi walijua, lakini wale waliojua walimsifia kwa kuwa na potential... Sasa angalia Julius Yego yuko wapi? Yeye ndio bingwa duniani kwa sasa!!!!! kuna watu wawili pekee ambao wameshawai kurusha mkuki zaidi yake kwa historia!!!!

Huyu kijana amendikiwabarua na waziri na akaambiwa aendelee hivyo hivyo kushinda hio ligi ndogo na kwamba nchi itamsaidia apeperushe bendera ya Kenya. Entry ya ku participate kwa hio championship kama driver ni 226,000 United Arab Emirates Dirham!!! hio ni millioni 6,476,790 za kenya!!! Ama ukipenda millioni mia moja thalathini na tatu za Tanzania (133,445,198.45 Tanzanian Shilling).

Kwahivyo huu si mchezo wa bure bure, unahitaji support kubwa hata kama uko formular 4, ukishinda kwa hizi ligi za chini unapata 'seat time' (kama vile flight hours) nyingi, unaanza kupanda ligi za juu kidogo kama vile Formula Renault 2.0 ambayo ni gali zaidi, kadri unavyo shinda, mwishowe formula 1 utafika... Lakini hakuna short cut, you have to start at the bottom and move up the formular ladder. This guy needs all the support
 
Lewis Hamilton, current champion of F1... Net worth $133million


Hata yeye alianza kwa ligi ndogo ndogo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…