Atleast ya MV bukoba wapo maiti walioopolewa.Sisi tuna Mv Bukoba tuliokoa maiti zoote zikiwa salama.
Ndio maana nikasema atleast Tz miili huopolewa ila ninyi wakenya hamjawahi kuopoa hata miili yani mtu akizama ameshazama na kuliwa na chewa basi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atleast ya MV bukoba wapo maiti walioopolewa.Sisi tuna Mv Bukoba tuliokoa maiti zoote zikiwa salama.
Ficha ujinga,Wazamiaji walikuja kutoka South Afrika kuja kutusaidiaAtleast ya MV bukoba wapo maiti walioopolewa.
Ndio maana nikasema atleast Tz miili huopolewa ila ninyi wakenya hamjawahi kuopoa hata miili yani mtu akizama ameshazama na kuliwa na chewa basi.
Tukiweka ushabiki kando wa Kenya na Tanzania, ni wazi kwamba wakenya wengi wanaikubali sana Tanzania, hii inathibitishwa na jinsi wakenya wengi hasa wale wasomi wanavyoizungumza Tanzania katika mijadala mbalimbali huko kwao.
Katika mijadala mbalimbali katika TV, Redio au mijadala ya wazi, huwa wanaitumia Tanzania kama mfano mzuri wa kuigwa na Kenya katika utendaji wa Kazi.
Ninadhani hili ni jambo zuri, nikimaanisha kuiga mambo mazuri kwa jirani yako. Hongereni sana kwa wale wenye wivu wa maendeleo.
It was 1998Ficha ujinga,Wazamiaji walikuja kutoka South Afrika kuja kutusaidia
Katika hili ni upuuzi wa hali ya juu wamefanya,,, dakika 20 mtu anaelea watu hawamuokoi,, Tanzania angeokolewaWe Kweli imhotep matope.
Kumbuka lile tukio limetokea suddenly na halifananii na hilo la ferry.
Na lile la moto watu kwa siku hyo hyo waliokolewa na waliofariki walizikwa.
Nambie ingekua Kenya kuna ht mtu angepona Kweli??!!
Licha ya hivyo inaelezewa ktk hiyo ktn kuwa kumbe serikali yenu ya kikenya ktk uokoaji ni butu kuna watu kumbe walizama na hawakupatikana hata mmoja huu si uzembe???
Ebu igezeni Tz yani kivuko kilipinduka kikainuliwa, watu waliokolewa na waliofariki kuopolewa ninyi 26 years back matukio km ya juzi yalitokea hamkuwahi kuopoa mwili hatta mmoja.
Huu uzembe kabbisa mna mengi ya kujifunza toka kwetu.
Thank you for using Tanzania as an exemplary country.Does it mean you love watching Kenyan TV stations or how else would you have known unless you spend most of your time following us? Ni Kama mtoto mdogo akimshati mwenzake kuwa hakufunga macho wakati wa maombi, swali ni alijuaje mwenzake hakufumba macho?
Usituletee upuuzi Tz sio kenya futa kauli na mm sio mtoto mdogo.Ficha ujinga,Wazamiaji walikuja kutoka South Afrika kuja kutusaidia
Halafu kuna fala hapo juu anakwambia eti walikuja wapiga mbizi kutoka South Africa kutusaidia ilhali watu wameokolewa siku hiyo hiyo hao wazamiaji waliyeyuka kuja au???Katika hili ni upuuzi wa hali ya juu wamefanya,,, dakika 20 mtu anaelea watu hawamuokoi,, Tanzania angeokolewa
Wapo waliookolewa ila kenya 26 years back till now tangu maafa ya kuzama yanatokea hawajai kuopoa ht mwili mmoja yan mtu akizama kazama.Maskini na maskini tunachekana!hivi mv spice ilikuwaje..?
Fire brigade Morogoro 2019It was 1998
Kweni maiti ngapi ziliokolewa niwekee linkUsituletee upuuzi Tz sio kenya futa kauli na mm sio mtoto mdogo.
watu wameokolewa siku hiyo hiyo hao wazamiaji waliyeyuka kuja au???
Wacha ushabiki wakijinga .Atleast ya MV bukoba wapo maiti walioopolewa.
Ndio maana nikasema atleast Tz miili huopolewa ila ninyi wakenya hamjawahi kuopoa hata miili yani mtu akizama ameshazama na kuliwa na chewa basi.
You must be mad.Wapo waliookolewa ila kenya 26 years back till now tangu maafa ya kuzama yanatokea hawajai kuopoa ht mwili mmoja yan mtu akizama kazama.
Most welcome bro si you can see my avatar too. You can also change yours in solidarity with Kenyans.Thank you for using Tanzania as an exemplary country.
Wacha ushabiki wakijinga .
You must be mad.
Kweni maiti ngapi ziliokolewa niwekee link