Mkenya avunja rekodi ya kuzungumza Kiingereza swaafiii

Mkenya avunja rekodi ya kuzungumza Kiingereza swaafiii

Hao wakenya gani wasiojua kiingereza? Kenya hadi Chokoraa wanaongea kiinglishi.
 
Hao wakenya gani wasiojua kiingereza? Kenya hadi Chokoraa wanaongea kiinglishi.
Lakini sio wote wanajua Kiswahili, na mnajisikia vibaya mkiambiwa hamjui kiingereza, ila mkiambiwa hamjui Kiswahili mnadhani ni sawa tu.

Hawa wanajua Kiingereza?, au hawa sio wakenya?.
 
Hapo kajiona Mzungu tayari
Usikute Nyumbani Kibera
Hahahaha

Kibera inaingiaje hapo? Na hata kama ni hivyo, inabadili ukweli kwa ushindi wake?
Wakulaumiwa ni walioandaa mashindano na kushirikisha wasio wazungu endapo unafikiri ameshajiona mzungu.
 
Ndio maana manakamatwa, licha ya mzee Magufuli kuwa ni Rais wa nchi bora ana umri mkubwa kukuzidi. Nie watu huwa mnawaza nini kwenye vichwa vyenu?
Umewahi kumsikia akiongea kingereza?

google hotuba yake alipomtembelea Museven, utaona haya na kulia,
 
Back
Top Bottom