Mkenya, nilifanyiwa uchawi, naona heri nihamie Tanzania

Mkenya, nilifanyiwa uchawi, naona heri nihamie Tanzania

Watu wanapiga madili kwa kutumia ushirikina wa hali ya juu! Ukiwaona hutadhani kwani wanapasua sala kwa kwenda mbele. Wewe na usomi wako unaogopa kwenda njia panda usiku wa manane kupasua nazi. My friend! Uwe makini unapofanya biashara!
 
Watu wanapiga madili kwa kutumia ushirikina wa hali ya juu! Ukiwaona hutadhani kwani wanapasua sala kwa kwenda mbele. Wewe na usomi wako unaogopa kwenda njia panda usiku wa manane kupasua nazi. My friend! Uwe makini unapofanya biashara!
Vipi, wewe umeishajiunga nao? Umeisha pasua nazi njia panda usiku ukiwa uchi? Hebu tupe ushuhuda wako hapa.
 
Sijaenda njia panda, ila Nina mpango wa kutafuta kalumanzila wa uhakika huko kwenu Ukambani. Ila ninaomba Mungu aniepushe na freemason!
 
Kiswahili cha Kitanzania hiki. Watanzania wacheni kujifanya kwamba nyinyi ni Wakenya. Kiswahili cha Kenya tunakijua. Hata Mtanzania akija Kenya na kufungua mdomo kuongea, baada ya sentensi moja huwa tunajua yeye ni Mtanzania.
one more thing I hate about kenyans

sasa pia kutumia kiswahili ni zogo pia? I've lost all faith in majority of kenyans.
upuzi na roho chafu nimeona huku zimekidhiri zaidi
 
jaribu kuweka biashara Githurai, customer ni wengiii.
githurai wapi haswa? sasa funds za relocation itakua balaa kwa sasa. the problem ni hili swala la mapepo. nadharau kuanza from cratch all the fuckin time, KWA SABABU YA MTU!

sasa naonelea nitafte hela, nijenge body niende FFL
 
githurai wapi haswa? sasa funds za relocation itakua balaa kwa sasa. the problem ni hili swala la mapepo. nadharau kuanza from cratch all the fuckin time, KWA SABABU YA MTU!

sasa naonelea nitafte hela, nijenge body niende FFL

kwani kuhamia Tz is free? Same funds hamia Kasarani au Githurai ama tuongee na wazee wa Eastleigh watume fare hehehehe

By the way mapepo nimesikia haziwezi vuka border mpaka ziwe na "passport" kimbiaa.
 
Nishawai posti hapa kutafuta ushauri wa kuondoa uchawi

Hivi juzi baada ya mimi kudhani mambo yangu yanaenda shwari, nimefungua duka la branding, nikalipa miezi sita na kuleta machines kadhaa, sasa baada ya kutumia sarafu zangu zote nikaanza kazi ningojee matokeo, nirefeshe mtaji, washenzi wamenirudia, sasa wanataka kuniangusha jindi walivyojaribu awali, ingawa wakati huo sikuwa na chochote.

Nahisi kuudhika pakubwa, ila njama zote za kichawi zinatumika kujaribu kunilazimu nitoke huku, hata sasa kazi imepungua kwani hata jina linaharibiwa kimakusudi. Mie naona sasa dawa nikuje tz nianze upya, lakini wajinga hawa wapate adabu mpaka waangamie. Ni kazi zipi mkenya yuaweza akazifanya huko, hapa mimi nishafanya sales za mikopo, I'm a graduate. pia kuna vitaa flani mimi hutengeneza, sijui kama vipo huko, I'll attach a video mvione.

I'm seeking guidance into tz life, and lile jiji nzuri la kuanzia. sijawai ona watu walio wivu kiwango hiki, jamani jua wakenya ni watu useless. usishangae hawaendelei ikiwa vijana wanaangamizwa na kurudishwa nyuma hivi. a r gh
JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala KENYA.

nipeni mawaidha ya huko. pia nataka nipate waganga mashuhuri wa huko, wanifanyie kisasi. This should not be allowed to happen, bila consequences.





New Microsoft Word Document (3)-1.jpg
 
sasa weweee.....
umepagawa?
Piga kula mkuu!:

 
umezoea wakenya kukichanganya na kizungu/sheng, ndio maana. kiswahili ni kimoja
Kiswahili sii kimoja. Kuna lahaja tofauti. Naweza ongea Kiswahili sanifu lakini lahaja ya Kenya itafanya ujue nimetokea Kenya. k.m, Bibi kwenu ni grandmother, kwetu ni wife. Kwetu grandmother ni nyanya na yote ni sanifu na yako hadi kwenye kamusi. Acheni kujiona Kiswahili chenu ndio bora.
 
sawia na kuruka mkojo na kuangukia mavi. Tanzania ndio hotbed of witchcraft bro... huko utakutana na mazingaombwe ya kufa mtu. kila la kheri
 
Back
Top Bottom