Mkenya pekee anayejua mziki

Mkenya pekee anayejua mziki

Naomba mtu anieleze venye naezashare video from you tube to this topic. Nimejaribu mara mob but imenilemea.
 
Currently, Kaligraph Jones ndie rapa bora east Africa, Sauti Sol ndio kundi bora la muziki east Africa na pia Nyanshiski anazidiwa na wakali wachache wa hapa bongo.

Kusema Otile brown ndie mkenya pekee anaejua mziki ni kuongopa!

I would choose Nyanshiski over Otile anytime!
Kali ni rapper bora afrika mashariki kwa mujibu wako,sio???..japokuwa ni mkali lakini bado ana kazi ya kufanya!
 
Wewe unatetea utanzania, mm natetea muzik. Fid q mwenyewe role model wake ni khaligraph

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
unajua maana ya role model??? ..hivi unajua rap anayochana kali na fid ni tofauti??rap ya shorobwenzi,Roma,killer ni tofauti sana na Kali Jones!!
Kali hawezi kuwa role modo wa wasanii hao uliowataja yeye ni upcoming rapper,lakini hao akina fid,stamina,roma ni legends,Kali kabla hajatoka alukuwa akimsikiliza sana young killer..Kali si msanii mkubwa kihivyo unavyomdhania!
 
Mh hapo ktk kusema Role Model umeharibu, Fid Q katoka(established) kabla ya hao wote uliowataja.Kaligraph kwa huku Tanzania anawashukuru sana Nikki Mbishi na Songa kwa kum introduce huku na ushahidi wa video upo do your research.Kaligraph utakuwa umemjua baada ya yeye kuanza kufata trend na Fid Q hafati trend za sasa sana
jamaa inaonekana bado hajaujua vizuri mziki wa afrika mashariki,sio fid tu kaligraph kamsikiliza sana young killer,kaligraph hajaanza ku-trend killer tayari yuko kwenye game,ila Kali ni upcoming rapper!
 
Huzuni!! wakenya hawajui kuimba kabisa upuuzi gani huu hahahahahahahaha akauze tu sambusa.
 
Naomba mtu anieleze venye naezashare video from you tube to this topic. Nimejaribu mara mob but imenilemea.
I see a damsel in distress, (if you aint one ignore). [emoji1] Kama hii jam kali ya zamani kidogo ya Khaligraph Jones- Yego akimsifia mwanariadha mrusha mikuki Julius Yego. Copy my format, or cut copy the code of your desired youtube video after view= then paste inbetween the bb code like indicated on the example I put up there. Alafu nangoja za macho.
 
I see a damsel in distress, (if you aint one ignore). [emoji1] Kama hii jam kali ya zamani kidogo ya Khaligraph Jones- Yego akimsifia mwanariadha mrusha mikuki Julius Yego. Copy my format, or cut copy the code of your desired youtube video after view= then paste inbetween the bb code like indicated on the example I put up there. Alafu nangoja za macho.

Akiendelea kuimba kwa mtindo huu ahamie usa, la sivyo hawezi shindana na Young killer. Mko vizuri kwa markerting na branding ila product kutengeneza hamjui.
 
Mh hapo ktk kusema Role Model umeharibu, Fid Q katoka(established) kabla ya hao wote uliowataja.Kaligraph kwa huku Tanzania anawashukuru sana Nikki Mbishi na Songa kwa kum introduce huku na ushahidi wa video upo do your research.Kaligraph utakuwa umemjua baada ya yeye kuanza kufata trend na Fid Q hafati trend za sasa sana
Make your research sio do your research.
 
Mkenya anayejua mziki
1. Khaligraph jones
2. Kingkaka
3. Huyu wa wimbo wa malaika na mungu pekee sijui Nyanshiski
4. Hakuna mwingine
 
Unazungumzia Kenya nchi anayotoka rapper bora afrika Kaligraph Jones? Role model wa young killer,Roma, sholobwenzi stamina,fid q
mkuu achana na Fiq, kama ndio umemfahamu leo kausha.
Watu tunamuelewa toka enzi hizo Kaligraph hajui hata studio huwa pakoje
 
Naomba mtu anieleze venye naezashare video from you tube to this topic. Nimejaribu mara mob but imenilemea.
nenda kwenye youtube video unayoitaka copy link na uipost hapa.
 
Kuna ngoma ya nyashiski inaitwa Kebs bomba la track

Sauti soul, p unit, papa jones wanajua sana
 
Otile huyu wa vera au???
Mkuu rudi tu usingizini
 
Otile anabana pua sana,ila ni mtunzi mzuri,nyimbo zake hazichoshi
 
Wakenya wanaiba mziki wetu wa BongoFlava taratibu,

Yani huyo anaimba Bongoflava pure kabisa. Kaiga kuanzia kiswahili hadi Mashairi.

Ukiskiliza unaweza ukafkiri Kama underground wa Bongo kumbe mkenya
Ako na kiswahili kizuri juu ni wa Mombasa. Wananzengo wa Mombasa huwa na kiswahili fasaha sana juu kule ni pwani.
 
Hii ndio upuzi sitakangi. Wapwani wa Kenya wana kiswahili kitamu kushinda hao wabongo unaowashobokea hapa. Kiswahili kilianza pwani mwa Kenya. Soma vitabu vya historia.
Na wenyewe walishajisemea pwani sio Kenya
 
Back
Top Bottom