Mkenya wa kwanza (Mkurugenzi Mtendaji wa Wizara ya Afya) apokea chanjo dhidi ya Corona

Mkenya wa kwanza (Mkurugenzi Mtendaji wa Wizara ya Afya) apokea chanjo dhidi ya Corona

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Nitafikiwa lini jameni, hebu tuambiwe wapi tupange foleni, sisi tumeelimika na tunafuata mbinu za kisayansi, hatupo radhi kutolewa kafara kwa misingi ya imani ya mtu mmoja, jameni dini zipo nyingi na kila mtu ana imani yake na Mungu wake, ila serikali ipo kwa ajili ya kuongoza kwa misingi ya ksayansi maana muundo wote wa dola ni sayansi, hata cheo cha rais kimebunwa kisayansi na katiba imeandaliwa kisayansi hivyo nina haki za kutibiwa kisayansi (waliobobea kwenye Social science wanaweza wakadadavua zaidi).

Mimi ni Mkristo, namuamini Mungu wangu ila hiyo ni imani yangu binafsi na haimuhusu hata mke wangu au jirani yangu, hivyo hatulazimishani kwenye itikadi za kiimani, na tukifanya hivyo hatutakua tofauti na alshabaab ambao hukata watu vichwa wasio amini katika miungu yao.

========================

Health Acting Director General Dr Patrick Amoth receives the Covid-19 vaccine on Friday, March 5


Health Acting Director General Dr Patrick Amoth receives the Covid-19 vaccine on Friday, March

Health Acting Director General Dr Patrick Amoth on Friday, March 5, became the first in Kenya to receive the Covid-19 vaccine.

In the full glare of the cameras, Amoth took the jab, Oxford/AstraZeneca vaccine, at the Kenyatta National Hospital (KNH) in Nairobi.

Also vaccinated is Dr. Collins Tabu who heads the Ministry of Health Division for Vaccines and Immunization Programme (DVI).

The vaccines were flagged off by President Uhuru Kenyatta on Thursday, March 4. Kenyatta assured that the jab had passed all the necessary tests and had the blessings of medical experts.

More to follow...
 
Ata kama ni nani ataanzia, wanitoe kwa hesabu ya 43 millions.
 
ajabu utashangaa mtu anakufa bado[emoji23][emoji23][emoji23].

hapo ndio utajua kuna tofauti kati ya mbwa na binaadam.
 
Nitafikiwa lini jameni, hebu tuambiwe wapi tupange foleni, sisi tumeelimika na tunafuata mbinu za kisayansi, hatupo radhi kutolewa kafara kwa misingi ya imani ya mtu mmoja, jameni dini zipo nyingi na kila mtu ana imani yake na Mungu wake, ila serikali ipo kwa ajili ya kuongoza kwa misingi ya ksayansi maana muundo wote wa dola ni sayansi, hata cheo cha rais kimebunwa kisayansi na katiba imeandaliwa kisayansi hivyo nina haki za kutibiwa kisayansi (waliobobea kwenye Social science wanaweza wakadadavua zaidi).

Mimi ni Mkristo, namuamini Mungu wangu ila hiyo ni imani yangu binafsi na haimuhusu hata mke wangu au jirani yangu, hivyo hatulazimishani kwenye itikadi za kiimani, na tukifanya hivyo hatutakua tofauti na alshabaab ambao hukata watu vichwa wasio amini katika miungu yao.

========================

Health Acting Director General Dr Patrick Amoth receives the Covid-19 vaccine on Friday, March 5


Health Acting Director General Dr Patrick Amoth receives the Covid-19 vaccine on Friday, March

Health Acting Director General Dr Patrick Amoth on Friday, March 5, became the first in Kenya to receive the Covid-19 vaccine.

In the full glare of the cameras, Amoth took the jab, Oxford/AstraZeneca vaccine, at the Kenyatta National Hospital (KNH) in Nairobi.

Also vaccinated is Dr. Collins Tabu who heads the Ministry of Health Division for Vaccines and Immunization Programme (DVI).

The vaccines were flagged off by President Uhuru Kenyatta on Thursday, March 4. Kenyatta assured that the jab had passed all the necessary tests and had the blessings of medical experts.

More to follow...
Meanwhile huko kwa wazungu
Screenshot_20210305-134158_Lite.jpg
 
Meanwhile huko kwa wazungu View attachment 1718215

Tafuta mtu akusomee ripoti yote mpaka mwisho, wacha kudandia eneo moja na kutoroka, waliochanjwa wamefikia mamilioni ya watu. Mpaka sasa Marekani wamechanja watu milioni 82, UK 31M, China 52M

Na kwa taarifa yako, hakuna Mtz ataruhusiwa kwenda hijja bila chanjo Bakwata speaks out on Saudi hajj Covid-19 vaccination order

Soma hili hitimisho la hiyo ripoti "Based on current experience, the expected benefits of both COVID-19 vaccines in preventing COVID-19 and its serious complications far outweigh any known side effects."
 
ajabu utashangaa mtu anakufa bado[emoji23][emoji23][emoji23].

hapo ndio utajua kuna tofauti kati ya mbwa na binaadam.

Hivi hii show mliifikisha wapi

2707522_2393157_IMG_20200508_164036.jpg




2707524_2393187_20200508_170418.jpg
 
Hongera zake, na wakenya wengine fanyeni hamjazuiwa..
 
Back
Top Bottom