Motivational speakers Ni watu muhimu Sana kwny Maisha yetu.Unamtumia ili ajifunze kuwa wema hauozi na mabaya hayalipwi kwa mabaya. Nafsi itamsuta ataumia na hatakuwa na la kufanya
Hahahahahaha mpe mzee ila jiandae kuombwa upewe malipo ya fadhila a.k.a mbunyeSitompa Kwa sababu aliamua mwenyewe Kwa akili yake kujipiga vikwazo vya kiuchumi, Kijamii n.k.
Mwenyewe sahizi Kuna Mke wamtu, anaomba nmsaidie elfu thelathin .
Sijui nmpe ?.
Ukiacha kazi, ofisi inaendelea kukupa mshahara?Imagine mkeo au demu wako kakukimbia halafu baada ya muda flani anakutumia msg ya kukuomba hela je utampa? Ukimpa kwanini?
Usipompa kwanini?
Mkuu unazungumzia zama gani? Cku hizi nafsi ilishaacha kusuta watuUnamtumia ili ajifunze kuwa wema hauozi na mabaya hayalipwi kwa mabaya. Nafsi itamsuta ataumia na hatakuwa na la kufanya