Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tunawafahamu nyie huwa mnatuma hata iwe wikiInategemeana km ni siku hiyohiyo nitampa ila km alilala imekula kwake akirudi afungashe na virago vyake.
Zamani nilikuwa na utoto wa mpe ndio ataumia vizuri, ila kwa sasa kila mtu ashinde mechi zake... Akiomba tu namtumia niliyenaye sasa kiasi kile kile alichoomba yeye na ya kutolea halafu nascreenshot namtumia copy whatsapp namuambia sorry nilifikiri kaomba huyu babymama wangu wa sasa nikamtumia sababu wote nilisave mysoup.Imagine mkeo au demu wako kakukimbia halafu baada ya muda flani anakutumia msg ya kukuomba hela je utampa? Ukimpa kwanini?
Usipompa kwanini?
Kwakweli naunga mkono hojaMotivational speakers Ni watu muhimu Sana kwny Maisha yetu.