Zamani nilikuwa na utoto wa mpe ndio ataumia vizuri, ila kwa sasa kila mtu ashinde mechi zake... Akiomba tu namtumia niliyenaye sasa kiasi kile kile alichoomba yeye na ya kutolea halafu nascreenshot namtumia copy whatsapp namuambia sorry nilifikiri kaomba huyu babymama wangu wa sasa nikamtumia sababu wote nilisave mysoup.